Tuesday, November 28, 2006

Faharisi Ya Qurani Takatifu

Faharisi

A'laa, S. 87.
Aadiyat, S. 100.
Aali Imran, S. 3.
Aaraf, S. 7.
Abasa, S. 80.
Abu-Lahab, 111:1-5.
Adabu, dhana, upelelezi na kusengenyana, 49:12;
dharau, matusi na kuitana majina mabaya, 49:11;
katika mikutano, 58:11;
kutomuudhi Mwenyezi Mungu, Mtume na Waislamu, 33:57-58;
mbele ya Mtume, 24:62-63; 49:1-5;
ndani ya nyumba ya Mtume, 33:53;
tupeleleze tunayoambiwa na fasiki, 49:6;
ya kumsalia na kumuombea amani Mtume, 33:56;
za majumbani, 24:58-61;
za kuingia majumbani, 24:27-29.
Adam, anaghilibiwa na shetani, 20:120-121;
anakhalifu amri, 2:35-39; 7:19-25;
kuumbwa, 2:30-34;
wanawe, 5:27-31.
Adhabu, 3:188; 6:15-16; 10:50-53; 11:101-104; 13:34; 16:88; 46:20; 70:1-3; 84:22.
Adi (watu), 7:65-72; 11:50-60; 25:38; 26:123-140; 29:38; 41:15-16; 46:21-26; 51:41-42; 54:18-21; 69:4-8; 89:6-14.
Ahmad, kubashiriwa kuja kwake, 61:6.
Ahqaf, S. 46.
Ahzab, S. 33.
Aisha, 24:11; 66:4.
Akhera, amali zitapimwa, 7:8-9;
bila shaka ni bora, 93:4-5;
bora kuliko fedha na dhahabu, 43:33-35;
hali ya wanyonge na waliojivuna, 14:21;
ilikadhibishwa na kaumu zilizopita, 50:12-14;
kuna adhabu, 6:40-41; 12:107;
madhalimu hawatafuzu, 6:135;
madhalimu wataomba muda mdogo, 14:44-46;
maisha ya milele (?), 11:107-108;
mitume na kaumu zao wataulizwa, 7:6;
nyumba ya huko ni bora zaidi, 6:32; 28:83; 29:64;
tutakutana na Mwenyezi Mungu, 6:31;
wanaopuza hawana waombezi, 7:53;
wema watapata nyumba ya salama, 6:127.
Al-Kaaba - tazama Kaaba.
Alam-Nashrah, S. 94.
Alama za Mwenyezi Mungu - tazama Ishara.
Alaq, S. 96.
Allah - tazama Mwenyezi Mungu.
Alyasaa (Ilisha), 6:86; 38:48.
Amana, tuzirudishe kwa wanaostahiki, 4:58; 8:27.
Amani, salamu, tamko la peponi, 19:62; 56:25-26;
tuielekee, 8:61;
utulivu, untoka kwa Mwenyezi Mungu, 9:26, 40; 48:4, 18, 26.
Amani - tazama Salamu.
An-am, S. 6.
Anbiyaa, S. 21.
Anfal, S. 8.
Ankabuut, S. 29.
Ansari, 59:9; 63:7.
Ardhi, imerahisishwa kwa ajili ya mwanaadamu, 67:15;
imeumbiwa viumbe, 15:19-20; 26:7; 77:25-28;
imewekewa milima ili isituyumbishe, 16:15; 21:31; 31:10;
itabadilishwa kuwa nyengine, 14:48;
itatetemeshwa mtetemesho mkubwa (zilzala), 69:14; 73:14; 89:21; 99:1-6;
na mbingu zilikuwa zimeambatana, 21:30;
ni tandiko, 2:22; 43:10; 71:19; 78:6; 79:30; 88:20; 84:3;
tuitembee, 6:11; 22:46; 27:69; 29:20-22; 30:9, 42; 35:44; 40:21, 82; 47:10;
ya Mwenyezi Mungu ina wasaa, 4:97; 29:56; 67:15.
Asr, S. 103.
Ayyubu, 4:163; 6:84; 21:83-84; 38:41-44.
Aziz, (cheo cha waziri), 12:30;
(sifa ya Mwenyezi Mungu), 22:40.
Badr, (vita), 3:13;
mafundisho ya, 8:5-19, 42-48.
Bahari - tazama Maji.
Bakka - tazama Makka.
Balad, S. 90.
Bani Israil, S. 17.
Banu Nadhiri, kabila ya kiyahudi, 59:2-6.
Baqarah, S. 2.
Baragumu - tazama Parapanda.
Bayyinah, S. 98.
Biashara, isiododa (isiobwaga), 35:29;
kuridhiana na kusiwe na batili, 4:29.
Binaadamu - tazama Mwanaadamu.
Buruj, S. 85.
Buruji (nyota), 15:16; 85:1;
Piya tazama Nyota.
Chakula - tazama Vyakula na Kula.
Daftari, atakayepewa kwa nyuma ya mgongo wake, 84:10-15;
lenye maandishi ya watu waovu, 69:25; 83:7-9;
lenye maandishi ya watu wema, 69:19; 83:18-21;
linalohifadhi kila kitu, 50:4.
Dahari, siri, miujiza na wakati ulivyopita na vitendo vyake, 76:1.
Dahr, S. 76.
Dalili za Mwenyezi Mungu - tazama Ishara.
Daraja, ni sawa na vitendo, 6:132.
Daudi, 6:84; 21:78-80; 34:10-11; 38:17-26;
alimuua Jaluti, 2:251.
Deni, kuandikiana tunapokopeshana, 2:282.
Dhambi, 4:36-39, 107-112; 7:100-102; 74:43-48;
miji iliangamizwa kwa ajili yake, 7:4-5; 77:16-19;
mizizi ya waliodhulumu ilikatwa, 6:45;
mwenye nazo atatamani kujikomboa, 10:54;
Mwenyezi Mungu husamehe dhambi zote, 39:53;
Mwenyezi Mungu hasamehi kushirikishwa, 4:116;
tukijiepusha na kubwa tutasamehewa ndogo, 4:30-32;
wanaotii si sawa na waasi, 68:35-41;
wanaozichuma watalipwa, 6:120;
wenye kufanya hawafaulu, 10:17.
Dhambi, Wafanyaji, 23:63-77; 26:200-209; 83:29-36; 85:3;
viungo vyao vitatoa ushahidi, 36:65; 41:20-23.
Dhana, upelelezi na usengenyaji, 49:12; 104:1.
Dhihaar (talaka ya wakati wa ujahiliya), 33:4; 58:2-4.
Dhihirisho la Mwenyezi Mungu, 3:154; 34:21.
Dhiki, baada yake faraji, 94:5-6.
Dhuhaa, S. 93.
Dhul-Kifli, 21:85; 38:48.
Dhun-nun, 21:87.
Dini, haina mambo mazito, 22:78;
hakuna kulazimishwa, 2:256;
inawafikiana na umbo la binadamu, 30:30;
moja kwa mitume wote, 42:13-15;
ni mila ya baba yetu Ibrahimu, 22:78;
ni sharia ya amri ya Mwenyezi Mungu, 45:18;
si dasturi za baba zetu, 43:22-24;
si mchezo wala upuzi, 6:70;
tumekamilishiwa, 5:3;
tusiwe makundi makundi, 6:159; 30:32;
uislamu ni dini ya haki, 3:19-20, 83-84;
watu wa kitabu wanaonywa, 4:171; 5:77-81.
Dua - tazama Maombi na Sala.
Dukhan, S. 44.
Dume na jike, katika kila kitu, 13:3; 31:10; 36:36; 42:11; 43:12; 51:49; 53:45.
Dunia, aitakae atalipwa lakini akhera ataadhibiwa, 11:15-17; 17:18; 42:20;
maisha yake si bora kuliko ya akhera, 9:38-39; 13:26; 28:60-61;
maisha yake ni mchezo na upuuzi, 6:32; 29:64; 47:36; 57:20;
mwanaadamu anayapenda maisha yake, 75:20-21; 76:27;
wabaya wanadanganyika na maisha yake, 6:130.
Eda, 2:228, 231-232, 234-235; 33:49; 65:4, 6-7;
Piya tazama Ndoa na Talaka.
Fadhila za Mwenyezi Mungu, ameanzisha viumbe, atavirudisha na anaturuzuku, 27:64;
ameitandaza ardhi na matunda na vyakula, 55:10-12;
ametueneza katika ardhi, 23:79;
ameumba dume na jike, 43:12; 51:49;
anahuisha na anafisha, 3:156; 6:95; 10:31, 56; 15:23; 22:6;
anateremsha mvua na kuhuisha ardhi, 29:63;
anatuendesha katika bara na bahari, 10:22;
anatuongoza njia, 1:6-7; 93:7;
anawajibu wanaoamini na kutenda mema, 42:26-28;
anawaruzuku wanaadamu na wanyama, 29:60-62;
ardhi, maji, malisho na milima, 79:30-33;
ardhi na mbingu, 41:10-12; 51:47-48;
bahari na marikebu, 16:14; 17:66;
bahari mbili zenye kizuizi baina yao, 25:53; 27:61; 55:19-20;
fakiri anatajirishwa, 93:8;
haki, 6:62; 10:30, 32; 20:114; 31:30; 57:4;
hazihisabiki, 14:34; 16:18;
kamuumba binaadamu na kumfundisha kunena, 55:3-4;
kazijenga mbingu na kazitengeneza, 79:27-28;
kivuli na jua, 25:45-46;
kizazi na viungo, 16:77-78; 23:78;
kufufua ardhi, nafaka, matunda na chemchem, 36:33-35;
kuhisabiwa kwa wanaadamu na majini, 55:31;
kumjibu aliyedhikika, 27:62;
kuondolewa mzigo, 94:2-3;
kuongozwa katika giza na pepo (Upepo), 27:63;
kupanuliwa kifua, 94:1;
kupokea toba na kusamehe, 42:25;
kuumbwa kwa mbingu na ardhi ni vilivyomo ndani yake, 27:60-61; 31:10;
lulu na marijani, 55:22;
maji safi yatiririkayo, 67:30;
majumba, vifaa vinavyotokamana na wanyama, nguo, 16:80-81;
marikebu na wanyama, 43:12-13;
mawaidha, poza, uwongofu, rehema, 10:57;
mbingu na ardhi, mvua na uhai, 43:9-11;
milima, mito, mabarabara, 16:15-16;
miti na matunda, 6:141;
mvua, mimea na matunda, 16:10-11;
neema kutoka mbinguni na ardhini, 14:32-33; 23:17-22;
nyuki, 16:68-69;
pepo (upepo) na mvua, 25:48-50;
rehema baada ya shida, 10:21;
rehema anayoifungua hakuna wa kuizuia, 35:2-3;
rehema anayoizuia hakuna wa kuipeleka mbele, 35:2-3;
tumefadhilishwa mbalimbali, 16:71-73;
uadilifu, 55:7-9;
umbo la mwanaadamu, nasaba na ndoa, 25:54;
usiku na mchana, jua, mwezi na nyota, 16:12-13;
usiku, usingizi na mchana, 25:47;
usiku na mchana, 79:29;
utajo unatukuzwa, 94:4;
vimetiishwa vilivyomo ardhini, baharini na mbinguni, 22:65; 31:20; 36:71-73; 45:12-13;
viumbe vinamuomba yeye, 55:29;
vyombo vya baharini, 55:24;
wanyama, 6:142;
wanyama na matunda, 16:66-67;
wanyama na tusivyovijua, 16:5-8;
yatima anapewa makazi mazuri, 93:6.
Fajr, S. 89.
Falaq, S. 113.
Fat-H, S. 48.
Fatiha, S. 1.
Fatir, S. 35.
Fidia, ya waliokufuru haitakubaliwa, 3:91; 10:54; 13:18.
Firauni, alikufuru, 69:9; 73:16; 85:17-20; 89:10-14;
alikuwa jeuri kwa mayahudi, 44:17-33;
alizamishwa, 2:50; 10:90;
anajadiliana na Musa, 7:103-137; 10:75-92;
anajiita mungu, 28:38; 79:24;
mkewe mwislamu mwema, 66:11;
mmoja wa watu wake alikuwa muislamu, 40:28-44;
mwili wake unahifadhiwa, 10:90-92;
ujahili wa zama zake, 2:49;
watu wake, 54:41-42.
Funguo za mbingu na ardhi, 39:63; 42:12.
Furqan, S. 25.
Fyl, S. 105.
Ghashiyah, S. 88.
Haa Mym Sajdah, S. 41.
Habari, zipelekwe kwa wapelelezi, 4:83.
Hadhari, juu ya maadui zetu, 4:71.
Hadid, S. 57.
Hafsa, 66:4.
Hajj, S. 22.
Haki, 23:70-71, 90;
Piya tazama Uadilifu.
Hamana, 28:6, 8, 38; 29:39; 40:36-37.
Handaki (vita), 33:9-20.
Handaki, watu wa handakini, 25:38; 50:12.
Haqqah, S. 69.
Haruni, 6:84; 20:29-36, 90-94; 37:114-122.
Haruta, 2:102.
Hasara (ya nafsi), 39:15.
Hija, 2:158, 196-203; 3:92; 5:2; 22:26-33.
Hijr, S. 15.
Hijri, wakazi wake, 15:80-85.
Hitilafu (Tofauti), irudishwe kwa Mwenyezi Mungu na Mtume, 4:59; 42:10.
Hoja, waliokufuru na washirikina hawaamini mpaka ziwajie, 98:1-6.
Hoja za Mwenyezi Mungu - tazama Ishara.
Hud, S. 11.
Hudi, 7:65-72; 11:50-60; 26:123-140; 46:21-26.
Hujurat, S. 49.
Humazah, S. 104.
Huneyni, 9:25-26.
Hurilaini, wanawake wa peponi, 44:54; 52:20.
Ibada, tumuabudu Mwenyezi Mungu pekee, 11:123.
Iblisi, 2:34; 7:11-18; 15:31-44; 17:61-65; 18:50; 20:116-123; 38:71-85;
Piya tazama Shetani.
Ibrahim, S. 14.
Ibrahim, aliitekeleza amri ya Mwenyezi Mungu, 2:124;
anaamrishwa kumchinja mwanawe, 37:99-111;
anabishana na aliyekufuru, 2:258;
anabishana na baba yake dhidi ya kuabudu masanamu, 6:74; 19:41-50;
anabishana na kaumu yake dhidi ya masanamu, 21:51-71; 26:69-82;
anaikanya kaumu yake dhidi ya masanamu, 29:16-18, 24-25;
anakataa kuwa mshirikina, 6:75-79;
anamuombea msamaha baba yake, 9:113-114; 26:86;
anawaombea watu wa Luti wasiangamizwe, 11:74-76;
anawapa watu wake mauidha, 6:80-83;
anayakinisha kufufuliwa, 2:260;
dhidi ya uwongo wa kaumu yake, 37:83-98;
dua yake, 14:35-41; 26:83-87;
hakuwa mshirikina, 3:95;
hakuwa myahudi wala mkristo, 3:67;
kitabu chake, 53:37; 87:19;
malaika wanampa bishara ya kupata mtoto, 11:69-73; 15:51-56; 51:24-30;
mfano mwema, 16:120-123;
mila yake, 2:130, 135;
na makafiri, 60:4-6;
na Al-Kaaba, 2:125-127; 3:96-97;
na moto, 21:69.
Idhini, ya mwanaadamu, 81:28; 82:6-7;
ya Mwenyezi Mungu, 10:99-100; 30:5; 81:29; 82:8;
ya Mtume Muhammad, 24:62.
Idrisi, 19:56-57; 21:85.
Ijumaa, ubora wa sala ya siku hiyo, 62:9-11.
Ikhlas, S. 112.
Ilisha (Alyasaa), 6:86; 38:48.
Illiyyin (daftari la watu wazuri), 83:18-21.
Ilyasi, 6:85; 37:123-132.
Imani, alama zake, 2:165, 177, 285; 4:136;
inazidi kwa maneno ya makafiri, 3:173;
na uongofu, 5:69.
Imrani, na kizazi chake, 3:33-37.
Infitar, S. 82.
Injili, 5:47.
Inshiqaq, S. 84.
Iram (Adi Iram), kaumu ya Nabi Hudi, 89:7.
Is-haka, 6:84; 21:72; 37:112-113.
Isa, alibashiri kuja kwa mtume Muhammad, 61:6;
alipewa Injili, 5:46; 57:27;
anaomba chakula kutoka mbinguni, 5:114;
hakusema kuwa yeye na mamake ni waungu, 5:116-118;
hakusulubiwa, 4:157;
hakuwa ila ni mtume, 4:171; 5:75; 43:59;
ishara ya uwezo wa Mwenyezi Mungu, 23:50; 43:61;
kunyanyuliwa kwake, 3:55-58; 4:157-159;
maumbile yake kama Adam, 3:59;
mazazi yake, 3:45-47; 19:22-23;
mja mwema, 6:85;
mtume kwa mayahudi, 3:49-51;
neema na miujiza aliyopewa, 5:110; 19:30-33;
si Mwenyezi Mungu, 5:17, 75;
si mwana wa Mwenyezi Mungu, 9:30;
wafuasi walitiliwa upole na rehema nyoyoni mwao, 57:27;
wanafunzi wake, 3:52-53; 5:111-115;
wanafunzi wake walijisalimisha, 5:111.
Ishara za Mwenyezi Mungu, adhabu inawangoja wanaojivuna na kuzifanyia mzaha aya, 45:8-9;
anaviapia alivyoviumba, 89:105;
ardhi inahuishwa baada ya kuteremka mvua, 41:39-40; 45:5;
baadhi ya watu wanadhani ni simulizi za uwongo, 68:15;
katika enzi ya mfalme Taluti, 2:248;
katika maumbile, 6:95-99; 10:5-6; 30:20-27; 45:3-6;
katika ardhi, nafsi na mbingu, 51:20-23;
kuadhibiwa kwa wanaozikadhibisha aya, 3:11, 108;
kutoendelea kuleta miujiza, 6:109; 10:20; 13:7; 17:59; 21:5-6;
kuumbwa kwa mbingu na ardhi, 2:164; 3:190;
maji, 56:68-70;
makafiri wanazikanusha, 2:118;
malipo ya watakaozikadhibisha na kuzifanyia kiburi, 7:36-41, 146-147;
mauti, 56:60-62;
mbegu ya uzazi, 56:57-59;
mimea tunayoipanda, 56:63-67;
moto, 56:71-73;
nafsi itaomba kurejea tena duniani, 39:58-59;
ngamia, mbingu, milima na ardhi, 88:17-20;
pepo na majahazi, 30:46; 42:32-35; 31:31;
tumebainishiwa aya tupate kufikiri, 2:219-220;
ukweli utathibitika katika nchi za mbali na katika nafsi, 41:53;
usiku na mchana, 17:12;
usiku, jua na mwezi, 36:37-40;
uteremsho wa kitabu unatosha, 29:49-51;
waligeuzwa waliozikadhibisha aya, 40:63;
wanaokadhibisha ni viziwi, mabubwi na wamo gizani, 6:39;
wanaozikadhibisha wanavutwa kidogo kidogo katika adhabu, 7:182;
wanaozikadhibisha wanajidhulumu nafsi zao, 7:177;
waovu wanaachwa katika upotofu, 7:186;
waovu wanataka wapewe utume, 6:124;
wazee walichukuliwa katika majahazi, 36:41-44.
Isirafu, tusifanye, 6:141; 7:31.
Ismaili, 2:125-129; 6:86; 19:54-55; 21:85.
Israili (kizazi chake), Mayahudi, 2:40-86;
ahadi zao, 2:83-86, 93, 100; 5:12-13, 70;
chanzo cha kizazi, 29:27;
kiburi chao, 2:80, 88, 91;
uasi na ujuvi wao, 2:54-59, 61, 63-74; 5:71; 7:138-141;
uhusiano wao na waislamu, 2:75-79;
walifarikishwa makundi mbali mbali, 7:161-171;
wamepewa kitabu na maimamu, 32:23-25; 40:53-54;
wanakumbushwa neema, 2:47-53, 60, 122; 45:16-17;
wanaokolewa, 20:80-82;
wanaonywa mara mbili, 17:4-8;
wanapenda kuishi umri mrefu, 2:96;
wanataka wawekewe mfalme, 2:246-251;
wanavyuoni wao walisilimu, 26:197;
Piya tazama Mayahudi.
Jabali la Judi, 11:44.
Jahanamu, adhabu kutoka juu na chini, 29:55;
haibakishi wala haisazi, 74:26-29;
haitojaa, 50:30;
hakuna kufa, 14:17;
hakuna kufa wala kuishi, 20:74; 87:13;
ina milango saba, 15:44;
inafoka, 67:6-8;
itadhihirishwa, 89:23-26;
itajazwa majini na binaadamu, 11:119;
itaonyeshwa kwa kila aonaye, 79:35-39;
juu yake wako kumi na tisa, 74:30-31;
kila ngozi ziivapo zitabadilishwa, 4:56;
kinywaji chake ni usaha na maji ya moto, 14:16-17; 38:55-58;
kutomuamini Mwenyezi Mungu na kutohimiza kulisha maskini, 69:30-37;
kwa walioahidiwa, 36:63;
kwa walioifanya dini ni upuzi na mchezi, 7:51;
maasi wamejidhulumu wenyewe, 43:74-76;
makazi ya wanaotakabari, 39:71-72;
maovu yanatia kutu juu ya nyoyo, 83:14-16;
moto mkali wenye hasira na mngurumo, 25:11-12;
mti wa zakkum na maji ya moto, 37:62-67; 44:43-48; 56:52-55;
nguo za moto, maji yachemkayo na marungu ya chuma, 22:19-22;
nguo za wakosa zitakuwa za lami, 14:49-50;
ni ya milele (?), 6:128; 11:107;
nyuso zitadhalilika na chakula ni cha miba, 88:2-7;
sote tutaifikia, 19:71; 102:6;
upepo wa moto, maji yachemkayo na kivuli cha moshi mweusi, 56:42-44;
waasi watakaa humo dahari nyingi, 78:21-25;
wakosa watapewa daftari mkono wa kushoto, 69:25-29;
waongo na waharibifu, 2:9-11;
waovu watafungwa na watayaita mauti, 25:13-14;
waovu watarudishwa kila watakapotaka kutoka, 32:20;
waovu watakokotwa kwa nywele za utosi, 96:15-18;
waovu watabishana, 40:47-50;
waovu wanaikadhibisha, 55:43-44;
waovu watajulikana kwa alama zao, 55:41;
wasengenyaji na mabaghili, 104:1-9;
wingi wala majivuno havisaidii, 7:48.
Jahazi - tazama Marikebu.
Jaluti, 2:249-251.
Jamaa, tuwafanyie wema (haki), 2:83, 177; 4:7-9, 36; 8:41; 16:90; 17:26; 24:22; 42:23.
Jathiyah, S. 45.
Jaza, bila hisabu, 3:27; 39:10;
bora kwa anayefanya wema, 28:84; 30:39;
ya ihsani ni ihsani, 55:60;
ya wema, 24:38; 29:7; 39:35.
Jibril, 2:97, 98; 26:193; 66:4; 81:19-21, 23.
Jihadi - tazama Kupigana na Jitihada.
Jinn, S. 72.
Jitihada, 9:20, 81; 22:78; 25:52; 29:64; 61:11.
Jozi - tazama Dume na jike.
Jua, 7:54; 85:1;
Mwenyezi Mungu analiapia, 91:1.
Judi (jabali), 11:44.
Jumamosi, adhabu ya kuvunja taadhima yake, 16:124;
waliovunja sheria waligeuzwa manyani, 7:163-166;
Jumua, S. 62.
Kaaba, humo tusiue mawindo, 5:94-96;
imejengwa na Ibrahimu, 2:125-127;
tengenezo la watu (usalama), 5:97;
washirikina wasiikaribie, 9:28;
Piya tazama Msikiti Mtukufu.
Kafirun, S. 109.
Kafuri, kinywaji kilichotanganyika nao, 76:5-6.
Kahf, S. 18.
Kalamu, 68:1; 96:4-5.
Kamari, 2:219; 5:90.
Karuni, 28:76-82; 29:39-40.
Kaula (usemi), wa mwanamke anayeitwa mama, 58:1-4; 33:4.
Kawthar, S. 108.
Khabari njema, 2:25; 5:19; 16:89; 48:8. n.k.
Khazina za Mwenyezi Mungu, 6:50, 59; 11:31; 15:21.
Khitilafu - tazama Hitilafu.
Khofu, inavyoathiri, 2:74;
na wanaotoa mali zao, 2:262, 274;
na watakaofuata uwongozi, 2:38;
na wanaoelekeza nyuso zao kwa Mwenyezi Mungu, 2:112;
na ishara za Mwenyezi Mungu, 17:59;
na waja wazuri, 43:68;
na vipenzi vya Mwenyezi Mungu, 10:62;
na walioamini na kufanya vitendo vizuri, 2:62, 277; 5:69; 6:48; 7:35;
na kuamini na kutengenea, 46:13;
tunahofishwa na moto, 39:16.
Kiama, baadhi ya nyuso zitang'ara na nyengine zitakunjana, 75:22-30;
habari kuu, 78:1-5;
ilimu yake iko kwa Mwenyezi Mungu, 33:63; 67:26; 79:42-46;
kama kupepesa jicho, 16:77; 54:50;
kinakaribia, 54:1-5; 78:40;
kitatufikia kwa ghafula, 7:187; 36:48-50;
kwa yakini kitakuja, 6:51, 128; 34:3-5; 40:59; 51:5-6, 12-14; 52:7-10; 56:1-7; 64:7-10; 95:7;
tutagawanywa makundi matatu, 56:7-56;
walioko mbele kabisa katika kheri, 56:10-26;
wanaokikadhibisha, 107:1-7;
watu wa kheri, 56:27-40;
watu wa shari, 56:41-56;
Piya tazama Kufufuliwa.
Kiama (siku yake), ardhi itatoa mizigo na habari zake, 99:1-8;
ardhi itang'ara kwa nuru ya Mola wake, 39:69-70;
ardhi itabadilishwa, tutakusanywa na wabaya wataogopa, 18:47-49;
dhalimu atajuta, 25:27-30;
haitakuwa nyepesi kwa makafiri, 74:8-10;
hakuna atakayeizuia na waikadhibishao wataadhibiwa, 52:7-26;
hakutakuwa na ujamaa, 23:101-104;
hasara kwa wabaya, 64:9-10;
hatutasikia ila mchakato tu wa miguu, 20:108;
hautafaa uombezi ila wa anayeruhusiwa na Mwenyezi Mungu, 20:109;
hila za waovu hazitawafaa, 52:45-47;
imewekewa wakati maalumu, 78:17-20;
itawafanya watoto kuwa wenye kutoka mvi, 73:17-18;
kila mtu atamkimbia mwenziwe, 80:33-42;
kila nafsi italipwa iliyotenda, 36:51-54; 39:69-70;
kutawekwa mizani za uadilifu, 21:47;
litapulizwa baragumu na jahanamu itadhihirishwa, 18:99-101;
macho ya waovu yatainama na unyonge utawafunika, 70:43-44;
madhalimu hawatakuwa na rafiki, 40:18-20;
madhalimu chakula chao ni mti wa zakkum, 37:62-68;
makundi ya waovu yaliohitalifiana, 19:37-39;
malaika watateremshwa kwa wingi, 25:25-26;
malaika wa namna nane watachukua kiti cha enzi cha Mola, 69:17;
malipo, 30:14-16;
marafiki waovu watakuwa maadui wao kwa wao, isipokuwa wema; 43:66-67;
matukio yake, 81:1-14; 82:1-5; 84:1-15;
mbingu zitakunjwa kama mkunjo wa karatasi, 21:104;
mkosa atatamani kujikomboa, 70:8-18;
muitaji atawaita waovu katika jambo zito, 54:6-8;
muovu atafufuliwa hali ya kuwa kipofu, 20:124-127;
muovu atayaita mauti, 84:10-11;
Mwenyezi Mungu hatosemezana na waliozikadhibisha aya zake, 23:105-111;
nafsi yenye kutua itaridhika, 89:21-30;
nafsi haitaimilikia nafsi nyengine chochote; 82:17-19;
nyota zitafutwa nuru yake na mitume watakusanywa, 77:7-15;
nyoyo zitapigapiga na macho yatainamia chini, 79:6-9;
nyuso nyengine zitadhalilika na nyengine zitamemetuka, 88:1-16;
ole wao siku hiyo hao wanaoikadhibisha, 77:29-50;
siri zitadhihirishwa, 86:9-10;
tutakuwa kama tuliolewa, 22:1-2;
tutakuwa katika ardhi mpya, 79:13-14;
tutapewa ujira kamili, 3:185;
ufalme wa haki utakuwa wa Mwingi wa Rehema, 25:25-26;
waliokufuru macho yao yatakodoka, 21:97-103;
waliomo mbinguni na ardhini watamfikia Mwenyezi Mungu, 27:83-90; 39:67-68;
waovu hawataweza kusujudu, 68:42-43;
waovu wataadhibiwa kwa kukataa haki, 37:35-39;
waovu hawatakuwa na waombezi, 30:12-13;
waovu watajulikana kwa alama zao, 55:35-44;
waovu watadhania waliishi muda mdogo, 20:102-104; 23:112-115;
waovu wataikubali, 37:20-21;
waovu watayaona wanayoahidiwa, 72:24-25;
waovu wataangamia na wema wataingizwa katika rehema, 45:27-35; 69:13-37;
wapotevu waliofuata nyayo za baba zao, 37:69-74;
wapotofu hawatanusuriana, 37:24-34;
washirikina na washirikishwa watakusanywa pamoja, 37:22-23;
washirikishwa wataulizwa kuhusu washirikina, 25:17-19;
watakaojitenga na mauidha watabeba mizigo, 20:100-101;
watu wa peponi watakuwa katika neema, 36:55-58;
watu wema hawatakuwa na khofu, 20:112;
watu wema watakuwa katika neema kubwa, 37:40-61;
watu watakuwa kama madumadu, 101:1-11;
wema hawatakuwa na hofu wala huzuni, 43:68-69;
yatadhihirishwa yaliomo vifuani, 100:9-11;
zitasimama roho na malaika safu safu, 78:38-40.
Kibla, 2:142-145, 149-150.
Kichakani, watu wake, 15:78; 26:176-191.
Kipambanuzi, baina ya haki na batili, 2:53; 8:29; 21:48-50; 25:1.
Kipimo, kwa mizani zilizo sawa, 17:35; 55:7-9; 83:1-3.
Kisasi, kusamehe ni bora, 5:45.
Kitabu, asili (msingi) wa hukumu, 3:7; 13:39; 43:4;
chenye hikima, 31:2;
kila muda uliteremshiwa chake, 13:38;
kilichotukuka, 43:4;
kimeteremka kwa lugha ya kiarabu, 43:3;
kimeteremshwa usiku uliobarikiwa, 44:3-4;
kina aya nyepesi na zakubabaisha, 3:7;
kisichokuwa na shaka na ni uwongozi, 2:2; 32:2-3;
kisomwe kama ipasavyo, 2:121;
Mwenyezi Mungu anakiapia, 38:1; 43:2;
ni nuru na ni uwongozi, 5:15-16;
ni uteremsho wa Mwenyezi Mungu,46:2;
Piya tazama Qurani na Wahyi.
Kitabu, watu wa (kitabu), 2:159-160; 3:64-80, 98-99, 113-115, 187, 199; 4:47, 153-161;
unafiki wao, 5:61-63;
wanatahayarishwa, 5:59-60, 68;
wanabainishiwa mtume, 5:15, 19;
wangalisamehewa lau wangaliamini na kumcha Mwenyezi Mungu, 5:65-66;
wanafahamu lakini baadhi yao hawaamini, 6:20.
Kivuli, kimetandazwa, 25:45.
Kizuizi (Barzakh), 23:100; 25:53; 55:20.
Kuabudu matamanio, 25:43.
Kuakhirishiwa adhabu, 3:178; 10:11; 12:110; 14:42-44; 29:53-55; 86:15-17.
Kuandikiana, tunapokopeshana, 2:282.
Kuangamia, kwa wale waliowaadhibu waislamu, 85:1-11.
Kuchinja, kanuni zake, 22:34-37.
Kuchuma, kwa nafsi, 31:34.
Kudhania, kupeleleza na kusengenya, 49:12; 104:1.
Kufufuliwa, 16:38-40; 17:49-52; 19:66-72; 22:5; 46:33-34; 50:3, 20-29, 41-44; 75:1-15; 79:10-12; 86:5-8;
Piya tazama Kiama.
Kufuzu, 87:14-15; 91:9-10.
Kugawanya, ngawira, 8:41; 59:7-8;
urathi, 4:11-12, 176;
zaka, 2:177.
Kuhifadhi na kutoa siri, 4:148.
Kujitolea (Hiari), kwa njia ya Mwenyezi Mungu, 4:70-80;
pasi na kushurutishwa, 6:107; 10:99;
kuamini na kukufuru, 18:29;
apendapo Mwenyezi Mungu, 74:56; 76:29-31; 81:28-29.
Kujitwahirisha, 4:43; 5:6.
Kukengeuka, baada ya uitifaki, 4:89-91.
Kukufuru, kusema Mwenyezi Mungu amejifanyia mtoto, 19:88-92.
Kula starehe, 5:66; 13:35.
Kula, kulikokatazwa, 2:173; 5:3; 6:121, 145;
kwa furaha, 5:66; 77:43, 46;
na kunywa pasi na israfu, 7:31;
na kunywa wakati wa saumu, 2:187;
nyama halali, 6:118-119;
vya halali na vizuri, 5:4-5, 88; 2:168, 172;
Piya tazama Vyakula.
Kumcha Mwenyezi Mungu, japo humuoni, 67:12;
(malipo yake), 98:8;
kama ipasavyo, 3:102;
na adhabu yake, 70:27;
Qurani ni uwongozi wake, 2:2;
uwongofu, 47:17;
wanausiwa waliopewa kitabu na waislamu, 4:131;
yeye pekee, 74:56;
Piya tazama Taqwa.
Kumkumbuka Mwenyezi Mungu, 63:9.
Kuoa - tazama Ndoa.
Kupeleleza, kudhania na kusengenya, 49:12; 104:1.
Kupigana, amri kwa wenye maradhi katika nyoyo zao, 47:20;
katika miezi mitakatifu, 2:194, 217;
katika njia ya Mwenyezi Mungu, 2:190-193, 244; 4:84;
kumelazimishwa, 2:216;
kumeruhusiwa kwa wale waliodhulumiwa, 22:39-41;
kuwaokoa wale walio dhaifu, 4:74-76;
kwa mali zao na nafsi zao, 9:20;
kwa Banii Israili, 2:246-251;
muislamu mmoja kwa makafiri kumi, 8:65;
na wasioamini mpaka watoe kodi, 9:29;
na washirikina, 9:5-6, 36;
na makafiri mpaka yasiweko mateso, 8:39;
na waliovunja ahadi, 9:12-16;
na wasiokuwa na lawama, 48:17;
na kuchukua mateka, 47:4;
na makafiri walio karibu, 9:123.
Kupindukia mipaka, Israfu, 7:31;
kuharamisha vilivyohalalishwa, 5:87;
katika jihadi, 2:190;
katika dini, 4:171; 5:77-81;
Kurasa (za Qurani) zimetakaswa, 98:2.
Kurithi - tazama Urithi.
Kusamehewa - tazama Msamaha.
Kusengenya, kudhania na kupeleleza, 49:12; 104:1; 68:10-13.
Kushauriana, 42:38.
Kushawishiwa, na shetani, 41:36.
Kutoa, katika njia za kheri, 2:245; 57:11, 18; 64:17; 73:20.
Kuua, 2:178-179; 5:32.
kwa kukosea au kukusudia, 4:92-93;
tusiue watoto kwa kuogopa umasikini, 17:31;
tusiue nafsi iliyokatazwa, 17:33.
"Kuwa" nalo huwa, 2:117; 6:73; 16:40; 36:82; 40:68; 54:50.
Lahab, S. 111.
Lata (sanamu), 53:19-23.
Lawhin Mahfuudh - tazama Ubao.
Layl, S. 92.
Lugha, na rangi zetu zinahitalifiana, 30:22;
za mitume katika kaumu zao, 14:4.
Lulu, 52:24; 55:22; 56:23.
Luqman, S. 31.
Luqmani, mafundisho yake, 31:12-19.
Luti, 6:86; 7:80-84; 11:77-83; 15:57-77; 21:74-75; 26:160-175; 27:54-58; 29:26, 28-35; 37:133-138; 51:31-37; 54:33-39;
mkewe alikuwa mchafu, 7:83; 11:81; 15:60; 66:10.
Ma'arij, S. 70.
Maamkio, 4:86.
Mabedui (watu wa jangwani), 9:90-99, 101-106; 48:11-12, 16; 49:14.
Mabishano na watu wa Kitabu, 29:46.
Machafu, Mwenyezi Mungu hayaamrishi, 7:28.
Madhalimu, 11:18-22, 101-104, 116-117; 39:47.
Madina, 33:9-27.
Madyan (watu), 7:85-93; 11:84-95; 29:36-37.
Mahari, 2:229, 236-237; 4:4, 19-21, 25.
Maidah, S. 5.
Maisha ya dunia, mchezo na upuzi, 6:32; 57:20.
Majaribio, 2:214-218.
Majeshi ya makafiri, 33:9-20, 22-27.
Maji, arshi ya Mwenyezi Mungu ilikuwa juu yake, 11:7;
kila kilicho hai kimeumbwa kwayo, 21:30; 24:45; 25:54;
maungano ya bahari mbili, 18:60; 25:53; 35:12; 55:19-20;
mzunguko wake, 23:18.
Majina, Mwenyezi Mungu ana majina mazuri, 7:180; 17:110; 20:8; 59:22-24.
Majini, 72:1-15;
si washirika wa Mwenyezi Mungu, 6:100;
waliumbwa kabla ya wanaadamu, 15:27;
wameumbwa kwa moto, 15:27; 55:15;
wanaabudiwa, 34:41;
wanalinganiwa kufuata Qurani, 46:29-32.
Majusi, 22:17.
Makasisi na watawa wanafanywa miungu, 9:31, 34.
Makka, 3:96.
mji wa amani, 95:3;
uhusiano wake na Mtume, 90:1-4.
Makumbusho, 87:9-13; 88:21-26.
Makureshi, wanalinganiwa, 106:1-4.
Malaika, hawateremshwi ila kwa haki, 15:7-8;
huitwa majina ya kike na wasioamini akhera, 53:27;
huteremshwa kuwaonya viumbe, 16:2;
Jibril na Mikaili, 2:97-98;
katika nyakati za kutoa roho, 79:1-5;
kwenye siku ya hukumu, 25:25;
na wenye makosa, 25:21-22;
na roho hupanda kwa Mwenyezi Mungu, 70:4;
si wanawake, 37:150; 43:19;
wa jahanamu (Malik), 43:77-78;
wajumbe wenye mbawa, 35:1;
walioteremshiwa Uganga (Haruta na Maruta), 2:102;
wanamtaradhia Mwenyezi Mungu, 2:30-34;
wanaoandika kila kitu, 50:17-18;
wanawaombea msamaha walio katika ardhi, 42:5;
wanawatunza watu, 82:10-12.
Mali, tusiwe mabakhili, 47:38; 104:2-3;
igawanywe ipasavyo, 59:7-9;
tusiliane, 2:188; 4:5, 29.
Malipo, kila mtu atalipwa alichokichuma, 52:21; 74:38;
ya wanaopigana na Mwenyezi Mungu na Mtume, 5:33-34;
ya mwizi, 5:38-39;
ya mzinifu, 24:2;
ya wanaowasingizia wanawake watahirifu, 24:4.
Manasara (Wakristo), 2:138-140; 5:14;
waliojisalimisha, 28:53-54; 29:47;
wanaoupenda uislamu, 5:82-85;
Manata (sanamu), 53:20.
Maombi, 1:1-7; 3:8-9, 26-27, 147, 191-194; 17:24, 78-81; 20:25-28; 23:118;
kwa Mwenyezi Mungu pekee, 13:14-15;
tusiwaombee msamaha washirikina, 9:113-114;
piya tazama sala.
Maonyo, 39:16;
kabla ya maangamizo, 17:16;
Maradhi, ndani ya nyoyo za wanafiki na makafiri, 2:10; 5:52; 8:49; 9:125; 22:53; 24:50;
33:12, 32, 60; 47:20, 29; 74:31.
Marikebu, zinapita baharini kwa amri ya Mwenyezi Mungu, 2:164; 14:32; 16:14; 17:66; 22:65; 31:31; 35:12; 42:32-33; 45:12; 55:24.
Maringo, Mwenyezi Mungu hawapendi wenyenayo, 31:18.
Maruta, 2:102.
Maryam, S. 19.
Maryamu, alijihifadhi nafsi yake, 21:91; 66:12;
alimpeleka mwanawe kwa jamaa zake, 19:27-33;
alipozaa, 19:23-26;
alipozaliwa, 3:35-37;
anabashiriwa kumzaa Nabii Isa, 3:42-51; 4:156; 19:16-21.
Masalih (watu wema), miongoni mwa walioneemeshwa, 4:69;
sifa zao, 13:19-22; 51:15-19; 76:5-12;
warithi wa ardhi, 21:105;
watahuishwa maisha mema, 16:97;
watakuwa juu ya makafiri, 2:212;
wataondoshewa bughudha vifuani mwao, 7:42-43;
watiifu watakuwa pamoja nao, 4:69;
Piya tazama Utawa.
Mashahidi, juu ya watu, 2:143; 22:78;
mwenye kushuhudia na kishuhudiwacho, 85:3.
Mashahidi, si wafu bali wahai, 2:154; 3:169;
wanapata msamaha na rehema, 3:157-158;
wanashangilia neema na fadhila, 3:170-171;
wataruzukiwa riziki njema, 22:58-59.
Matamanio, kuabudu, 25:43.
Mateka, 8:67-71.
Matendo, yaliyoharamishwa, 6:151-152; 7:33.
Mateso, 7:94-96.
Matukano, tusiwatukane washirikina, 6:108.
Matunda, ya peponi, 43:73; 47:15; 77:42-43.
Maumbile, kila kitu kinamtukuza Mwenyezi Mungu, 24:41-44; 57:1; 59:1; 61:1;
yanadhihirisha ahadi ya Mwenyezi Mungu, 78:6-16.
Maun, S. 107.
Mauti, hayaepukiki, 3:185; 4:78;
kila nafsi itaonja, 3:185; 21:35; 29:57;
matukio yake, 56:83-87; 75:26-29;
mkosa hatakufa motoni wala hatakuwa hai, 14:17; 20:74; 87:13;
na kufufuliwa kwa umbo jengine, 56:60-61;
ni amri ya Mwenyezi Mungu, 3:145;
si mwisho wa kila kitu, 45:24-26;
wanateseka waliokufuru watolewapo roho, 8:50-54;
waovu watakanusha vitendo vyao, 16:28-29;
wapenzi wa Mwenyezi Mungu wayatamani, 62:6-8;
watakaofufuliwa makafiri, 6:36;
ya kwanza, 37:59;
ya wanaomcha Mwenyezi Mungu, 16:30-32;
yatawahangaisha madhalimu, 6:93-94.
Mawindo, tusiue katika Hija au Umra, 5:94-96.
Mayahudi, baadhi yao walisilimu, 26:197; 28:52-54; 29:47;
maadui wakubwa wa Waislamu, 5:82;
na Manasara, 2:140; 4:153-161, 171; 5:18;
wamelaaniwa, 5:64;
wanavyuoni wao wakiwadanganya, 5:41-42;
Piya tazama Israili (kizazi chake).
Mayatima, 2:220; 4:2, 6, 9-10, 127; 17:34.
Mazungumzo maovu, tuepukane nao (wenye kuzungumza maovu), 6:68.
Mbingu saba, 2:29; 23:17; 65:12; 67:3; 71:15.
Mbingu, ardhi na milima, ilidhihirishiwa amri na makatazo kabla ya mwanaadamu, 33:72-73;
na ardhi zilikuwa zimeambatana, 21:30.
Mezi, idadi yake, 9:36-37.
Mfano Wa, anayemwita asiyesikia, 2:171;
bubu na anayeamrisha uadilifu, 16:76;
buibui, 29:41;
bustani yenye rutuba, 2:265-266;
bwana mmoja na mabwana washirika, 39:29;
giza, 24:40;
jabali lenye udongo juu yake, 2:264;
jivu linalopeperushwa, 14:18;
kamba, 3:103;
maisha ya dunia, 18:45-46;
maji yaliyozama, 67:30;
mazigazi (Mangati), 24:39;
mbwa anayehema, 7:176;
mji uliokufa, 2:259;
mji uliyoneemeshwa, 16:112-113;
mlima unavyonyenyekea, 59:21;
mmea uliotoa matawi yake, 48:29;
mshirikina, 22:31;
msingi ulio ukingoni mwa shimo, 9:109-110;
mti mbaya, 14:26;
mti mzuri, 14:24-25;
mtumwa na aliyeruzukiwa, 16:75;
mvua, 10:24;
mvua yenye kiza, radi na umeme, 2:19-20;
mvua inayowafurahisa wakulima, 57:20;
mwanamke aliyeukata uzi wake vipande vipande, 16:92;
mwenye upofu na uziwi, 11:24;f
nuru ya Mwenyezi Mungu, 24:35-36;
nzi, 22:73;
pepo, 13:35;
punda, 62:5;
punje moja, 2:261;
upepo wenye baridi kali, 3:117;
wakazi wa mji, 36:13-32;
wasafiri waliokoka moto, 2:17-18;
washirika, 30:28;
watu wawili, 18:32-44;
wenye shamba, 68:17-33.
Mghafala, katika kutafuta wingi, 102:1-4.
Miba, chakula cha motoni, 88:6.
Migomba, 56:29.
Miiraji, 17:1.
Miji iliyopinduliwa, 69:9.
Mikono na miguu itatoa ushahidi, 36:65.
Mikunazi, 34:16; 53:14-18; 56:28.
Mikusanyiko, siku ya ijumaa, 62:9.
Milima, inathubutu ardhi isiyumbeyumbe, 21:31; 31:10;
ingalinyenyekea kwa uteremsho wa Qurani, 59:21;
itavunjwavunjwa siku ya kiama, 20:105-107; 73:14; 101:5;
ni vigingi, 78:7.
Mimea, Mwenyezi Mungu anayaotesha, 56:63-67.
Misikiti, iamirishwe na waumini, 9:17-19.
Mitume, 2:253;
hawafanyi khiyana, 3:161;
mashahidi kwa umma zao, 16:89;
mmoja baada ya mwengine, 3:33-34; 4:163-165; 5:19; 6:84-90; 23:23-50; 57:26-27;
mtume tofauti na nabii, 19:51;
tumesimuliwa baadhi yao tu, 40:78;
tuwaamini wote, 4:150-152;
umma mmoja, 23:52-54
walifanyiwa stihzai, 6:10; 13:32; 15:11; 21:41;
walifukuzwa na kutishwa, 14:13;
walikadhibishwa, 3:184; 6:34; 25:37; 34:45; 51:52-55;
walikuwa na maadui, 6:112; 25:31;
walikuwa na wake na watoto, 13:38;
walitumwa kwa kila umma, 10:47; 16:36;
waliuawa, 3:183;
wamechukuliwa ahadi na Mwenyezi Mungu, 3:81; 33:7-8;
wameletwa kwa lugha za watu wao, 14:4;
wanaadamu kama sisi, 14:10-12; 16:43-44; 17:94-95; 21:7-8; 25:7-8, 20;
wanazieleza aya za Mwenyezi Mungu, 7:35-36;
waonyaji 6:48, 131; 14:4-6;
wataulizwa habari za umma zao, 5:109;
wote walikuwa wanaume, 16:43-44; 21:7-8;
Miungu, Kinyume na Mwenyezi Mungu, 7:194-198; 16:20-21; 21:22, 24; 34:22-27; 41:47-48; 46:5-6; 53:19-24; 71:23-24.
Mizani, 42:17; 55:7-9; 57:25; 101:6-9.
Mizigo (dhambi), haikalifishwi nafsi ila kwa wasaa, 2:286; 7:42; 23:62;
hatabeba mtu ila yake, 6:164; 17:15; 29:12-13; 35:18; 39:7; 53:38;
watabeba pamoja na ya wanaowapoteza, 16:25.
Mjane, 2:234-235, 240.
Mjumbe, wa Mwenyezi Mungu ardhini, 2:30; 6:165.
Mkataba, 9:1-4, 7-10.
Mkosa hatakufa wala hataishi (motoni), 20:74; 87:13.
Mmezwa na chewa, 68:48-50.
Mnyama, kauli ya kuja kiama, 27:82.
Moto (Motoni) - tazama Jahanamu.
Moto, fumbo, 2:17-18;
ukumbusho na manufaa kwa viumbe, 56:71-73;
uliyomuongoza Musa, 20:10.
Msamaha, daraja zake, 4:110;
dhambi zote husamehewa, 39:53;

mshirikina hasamehewi, 4:48, 116;
kwa watu wa kitabu, 2:109;
kwa wasioziogopa siku za Mwenyezi Mungu, 45:14;
malaika wanawaombea viumbe, 42:5;
na kuamrisha mema, 7:199;
na kufanya suluhu, 42:40;
na subira, 42:43;
tuyaendeeni upesi yanayotupatia maghufira, 57:21;
unapokasirika, 42:37;
wa madhambi makuu na vitendo vichafu, 53:32.
Msikate tamaa, na rehema ya Mwenyezi Mungu, 39:53;
wala msihuzunike, 3:139, 146.
Msikiti mtukufu, 17:1;
wasiukaribie wenye najisi, 9:28;
na kuua, 2:191;
Piya tazama Kaaba.
Msikiti wa Aqsa (Baytul Muqaddas), 17:1.
Mtawa - tazama Masalih na Utawa.
Muda, umewekewa kila watu, 7:34; 10:49; 15:4-5; 16:61; 20:129.
Muddaththir, S. 74.
Muhajiri, 59:8-9.
Muhammad, S. 47.
Muhammad, alidhibitishiwa Qurani, 75:16-18;
aliifikisha Qurani kama alivyofunuliwa, 10:15-16; 11:12-14; 46:9;
alimuona Jibrili, 53:4-18; 81:22-25;
alisomeshwa Qurani wala hakusahau, 87:6-7;
ametumwa na dini itakayoshinda dini zote, 61:9;
ametumwa kwa watu wote, 34:28;
ana haki zaidi kuliko nafsi zetu, 33:6;
anaamrishwa auelekeze uso wake katika dini, 27:91-93; 30:30
anaamrishwa ashindane na makafiri na wanafiki, 66:9;
anafanyiwa stihzai, 25:41-42; 34:7-8;
anamtukuza Mwenyezi Mungu, 73:1-8, 20; 74:3;
anasujudu na kuwa karibu na Mola, 96:19;
anateremshiwa rehema, 33:56;
anatuhangaikia, 9:128;
anatusiwa na Mayahudi, 2:104; 4:46;
anatusomea aya kututoa katika giza, 65:11;
anatusomea kurasa zilizotakaswa, 98:2;
anawaita watu kwa hikima na mauidha mema, 16:125-128;
hajui kusoma wala kuandika, 7:157-158; 62:2;
hakuwa ila ni mtume, 3:144;
haombi ujira, 25:57; 34:47; 38:86; 42:23;
hasemi kwa matamanio, 53:2-18;
kazi yake, 3:164; 7:156-157; 10:2; 52:29-34; 74:1-7;
kinadhikika kifua chake, 15:97; 16:127; 18:6; 25:30;
laini (mpole), 3:159;
mfano mwema kwetu, 33:21; 68:4;
mtoaji wa habari njema, 7:158, 188; 33:45; 48:8-9;
mtume wa Mwenyezi Mungu, 33:40; 48:29;
mtume wa mwisho, 33:40;
muonyaji, 7:184, 188; 10:2; 15:89; 33:45; 36:6; 53:56-62;
Mwenyezi Mungu ni shahidi wake, 13:43; 29:52; 46:8;
mwisho wa mitume, 33:40;
na ahali zake, 33:28-34, 59; 66:1, 3-5;
na watu wa kitabu, 5:19;
na ulinganio, 11:2-4; 12:108; 34:46-50;
na sahaba kipofu, 80:1-10;
Nabii Isa anatabiri kuja kwake, 61:6;
ni binadamu kama sisi, 18:110;
rehema ya Mwenyezi Mungu, 28:46-47; 33:45-48; 42:48;
rehema kwa walimwengu wote, 21:107;
rehema kwa waumini, 9:61;
shahidi juu yetu, 73:15-16;
si mlinzi wala si wakili, 6:107;
si mwendawazimu, 7:184; 68:2; 81:22;
si mshairi wala mchawi, 69:40-43;
tumefanyiwa hisani kuletewa, 3:164; 4:70, 170;
tumsalie na kumuombea amani, 33:56;
tusiwapende wanaompinga, 58:20-22;
wanaofungamana nae Mwenyezi Mungu yu radhi nao, 48:10, 18;
Mujadilah, S. 58.
Mulk, S. 67.
Mumtahinah, S. 60.
Munaafiqun, S. 63.
Mursalat, S. 77.
Musa, alipewa vitabu, 53:36; 87:19;
anaghadhibika kwa kuabudiwa ndama, 20:86-98;
anaoa katika nchi ya Madiani, 28:22-28;
anaona ishara za Mwenyezi Mungu, 7:142-145;
anaongozwa katika njia iliyonyoka, 37:114-122;
anapewa utume, 19:51-53; 20:9-56; 28:29-35;
anaua mtu mjini, 28:14-21;
anawakanya watu wake kuabudu ndama, 7:148-156;
anawakumbusha watu wake neema ya MwenyeziMungu,14:5-8;
anawasihi Mayahudi, 5:20-26;
anawasilimisha wachawi, 7:113-126; 20:70-73; 26:46-52;
dhidi ya masanamu, 7:138-141;
hoja alizopewa, 7:107-108, 133; 17:101;
kaumu yake, 2:51:61; 7:159-162;
Mwenyezi Mungu alimwongoa, 6:84;
na Firauni, 7:103-137; 10:75-92; 11:96-99; 17:101-103; 20:42-53, 56-79; 23:45-49; 25:35-36; 26:10-68; 28:4-21, 31-42; 40:23-46; 43:46-56; 51:38-40; 79:15-26;
na moto wenye nuru, 27:7-14; 28:29-35;
safari yake kwenda kuonana na Nabii Al Khidhri, 18:60-82;
utotoni mwake, mamake na dadake, 20:38-40; 28:7-13;
wanatia khitilafu na shaka kitabuni, 11:110;
watu wake wanamuudhi, 61:5.
Muumin, S. 40.
Muuminun, S. 23.
Muzzammil, S. 73.
Mvua, inateremshwa na Mwenyezi Mungu, 56:68-70.
Mwana, wa kupanga (kulea), 33:4-5.
Mwanaadamu, afikwapo huomba shari, 17:11;
ajisalimishe kwa Mwenyezi Mungu, 31:22;
amefungiwa vitendo vyake shingoni mwake, 17:13;
amepuliziwa roho inayotokana na Mwenyezi Mungu, 15:29; 32:9;
ametiwa huba ya kupenda, 3:14;
ameumbwa kwa tone la manii na kufadhilishwa, 96:2-5;
ameumbwa na kutengenezewa mambo yake, 67:23-24; 74:12-15;
ameumbwa katika tabu, 90:4;
ameumbwa kwa tone la manii na kufadhilishwa, 16:4-8; 32:7-9; 35:11; 36:77-78; 76:13;77:20-24; 80:17-32; 86:5-8;
ameumbwa kwa udongo na muda maalumu, 6:2; 15:26;
ameumbwa kwa maji, 25:54;
amuabudu Mwenyezi Mungu tu, 39:64-66;
anadhani ataachwa bure, 75:31-40; 90:5-7;
anahadaika, 82:6-12;
anaijua haki bali anapotezwa na shetani, 7:172-175;
anaonywa juu ya shetani, 7:27;
anayapenda maisha ya kidunia, 76:27;
atabeba mzigo wake, 6:164;
atafufuliwa kwa umbo jengine, 56:60-61;
atahukumiwa kwa amali aliyotenda, 17:71;
atakamatwa kwa ghafla, 6:44;
atakutana na hali baada ya hali, 84:16-19;
atatiwa katika misukosuko, 2:155; 3:186; 47:31;
hakuekewa nyoyo mbili kifuani mwake, 33:4;
hashukuru, 7:10; 36:45-47; 74:15-25; 100:1-8;
hashurutishwi, 10:99;
hujidhulumu nafsi yake, 6:123; 10:44;
hujikusurukusuru katika mambo yake, 84:6;
hutakabari, 96:6-14;
kufa na kufufuliwa, 23:15-16;
kusahilishiwa njia ya peponi au motoni, 92:4-11;
macho, ulimi na midomo, 90:8-10;
madhalimu watahangaika wakati wa mauti, 6:93-94;
malaika anaandika amali zake, 50:17-18, 23;
mali na jamii ni majaribio, 64:14-15;
marejeo yake ni kwa Mwenyezi Mungu, 6:60, 72; 10:45-46;
maumbile yake yanamtegemea Mwenyezi Mungu, 56:57-74;
misiba inatokana na mikono yake, 42:30;
mjumbe katika ardhi, 2:30; 6:165;
na jamii yake, 7:189-190;
namna alivyoumbwa, 23:12-14; 40:67; 22:5;
nasaba na ujamaa wa ndoa, 25:54;
ni mwenye pupa (hima), 17:11; 16:37;
ni shahidi wa nafsi yake, 75:14-15;
ni mwenye papatiko, 70:19-21;
pindi inapomfika dhara au neema, 10:12; 11:9-11; 16:53-55; 17:67-70; 29:10, 65-66; 30:33-34; 31:32; 39:8, 49;
pindi inapomfika dhara au neema, 41:49-51; 42:48; 89:15-16;
si mwenye kutimiza wajibu wake, 89:17-20;
umbo lililo bora kabisa, 95:4;
viungo vitatoa ushahidi, 24:24; 36:65;
wajibu wake, 4:1-36; 17:23-29; 29:8-9; 30:38; 31:33; 46:15;
watakao heshima, 70:22-35;
yuko chini ila walioamini na kutenda mema, 95:5-6.
Mwenyezi Mungu, "inshallah" (akipenda), 18:23-24;
adhabu yake, 1:7; 7:97-99;
ahadi yake ni ya kweli, 4:122; 14:47;
akhera na dunia ni yake, 92:13;
ameteremsha Qurani na vitabu vyengine, 6:91;
ametuletea malaika, 6:61;
ameumba na ametukuka, 7:54; 11:6-7; 13:16-17; 21:30-33; 67:1-5;
amri yake itafika (tu), 16:1;
amri yake ni kama kupepesa jicho, 54:50;
anabainisha waovu, 50:24-26;
anadhibiti matendo yetu, 58:6;
anahuisha, 2:28; 6:122;
anaitimiza nuru yake, 9:32-33; 61:8-9;
anaitika maombi, 2:186;
anakadiria na kuongoza, 87:3;
anakanusha madai ya mayahudi, 62:6;
anamteremshia rehema mtume, 33:56;
anamuachia kupotea amtakaye na anamuongoa amtakaye, 14:4; 16:93; 39:23;
anaondoa madhara, 6:17;
anashuhudia kila kitu, 10:61; 58:6;
anatukanya tusifanye waungu wawili, 16:51;
anatukhafifishia, 4:26-28;
anatukinga na shari zote, 113:1-5; 114:1-6;
anatutosha (atatukifia), 3:173; 8:64; 39:36; 65:3;
anatwita katika nyumba ya amani, 10:25;
anavijua visivyojulikana na vijulikanavyo, 67:14;
anawakubalia watendao mema na kupita kando makosa yao, 29:7; 46:16;
anawazunguka watu, 17:60;
anayoamrisha, 16:90-91;
anjiapia, 4:65; 15:92; 16:56, 63; 19:68; 34:3; 51:23; 64:7;
atawafanyia mapenzi walioamini, 19:96;
atawapa ujira mkubwa waliodhulumiwa, 16:41-42;
dalili (ishara) zake, 10:3-6; 13:2-4; piya tazama Ishara za Mwenyezi Mungu
dhati yake, 55:27;
hakimu bora, muadilifu, 10:109; 95:8;
hakujifanyia mtoto, 2:116; 6:100; 10:68; 19:35; 23:91;
hana mke wala mabinti, 6:100-101; 16:57; 37:149-157; 43:16-19;
hana mshirika, 6:22-23, 25:1; 136-137, 163;
hapotezi ujira wa watendao wema, 9:120-121; 11:115;
hatubadilishi mpaka tujibadilishe nafsi zetu, 8:53; 13:11;
hawapotezi watu, 9:115;
hukumu iko kwake, 6:57; 28:88; 42:10;
humtakasa amtakaye, 4:49;
huona yote yanayotendwa, 3:156, 163;
huruzuku pasipo hisabu, 24:38;
hutakabadhi roho, 39:42;
huteremsha utulivu, 3:154; 9:26; 48:4, 18, 26;
hutufanyia mtihani, 3:142, 154, 166; 6:53; 29:2-5; 67:2;
hutuokoa na kila mashaka, 6:63-64;
huwajaalia wanaadamu nuru, 6:122;
ibada, uzima na kufa ni kwake, 6:162;
karimu sana, 96:3;
kila kitu kinamtukuza yeye, 59:1; 61:1; 62:1; 64:1;
kila kitu kitakufa isipokuwa yeye, 28:88;
kila kitu kinamsabihi yeye, 13:12-13; 17:44; 24:41-46; 57:1;
Kumcha - tazama Kumcha Mwenyezi Mungu;
limetukuka jina lake, 55:78; 56:74, 96; 67:1; 87:1;
macho hayamfikii kumwona, 6:103;
majeshi ya mbingu na ardhi ni yake, 48:7;
majina mazuri mazuri anayo, 7:180; 17:110; 20:8; 59:24;
mambo yote yanarejeshwa kwake, 3:109, 128; 42:53; 53:42; 96:8;
maneno yake hayana ukomo, 18:109; 31:27;
maneno yake yametimia kwa ukweli na uadilifu, 6:115;
maneno yake hakuna awezae kuyabadilisha, 6:34, 115; 18:27;
mbora wa kupindua hila zote, 3:54; 13:42;
mbora wa wanaorehemu, 7:151; 12:64, 92; 21:83; 23:109, 118;
mjuzi wa yote (siri na dhahiri), 2:284; 3:5, 29; 6:3, 117; 13:8-10; 16:23; 21:4; 31:34; 34:2; 64:4; 59:22;
mkwasi (mwenye kujitosha), 2:263, 267; 6:133; 14:8; 31:26; 35:15; 64:6;
mlinzi, 2:257; 3:173; 4:45; 40:45; 42:28; 73:9;
mola wa mashariki mbili na magharibi mbili, 37:5; 55:17; 70:40; 73:9;
mola wa ulimwengu wote, 113:1;
mola (mfalme) wa haki, 6:62; 10:30, 32; 20:114; 31:30;
mola mwenye utukufu mkubwa, 70:3;
mola wa arshi kuu (enzi), 9:129; 23:86; 40:15; 85:15;
mola wa siri ya mbinguni na ardhini, 16:77;
mola mwenye nguvu, 51:58;
mola wetu, 2:21-22; 3:150; 6:62; 22:78;
mola wa walimwengu (kila kitu), 1:2; 6:162-164;
mpambanuzi, 3:179;
mpenda (waja wake), 85:14;
mpokeaji shukurani na mwenye kujua, 4:147;
mpole, 2:225, 235, 263; 3:155; 5:101; 9:117-118; 22:59; 64:17;
msafishaji nyoyo, 3:141, 154;
msaidizi, 3:150; 4:45; 22:78; 40:51;
mshindaji, 6:18, 61;
mtoaji wa riziki, 29:60-62; 51:58;
muadilifu, 13:41; 21:47; 55:7; 99:7-8;
muumba wa kila kitu, 2:29, 117; 6:73; 25:59, 61-62;
muweza juu ya kila kitu, 2:284; 3:29; 6:12-13, 65; 10:55; 16:77-81; 53:42-54; 67:1; 85:12-16;
mwema, 52:28;
mwenye fadhila, 3:174; 17:20-21;
mwenye nguvu na hekima, 31:9, 27; 39:1;
mwenye maghufira mengi, 53:32;
mwenye hikima, 2:240; 4:26; 6:18; 9:110;
mwenye kusifiwa, 31:26;
mwepesi wa kuadhibu na kusamehe, 7:167; 13:6;
mwepesi wa kuhisabu, 13:41; 24:39;
mwingi wa kutenda alipendalo, 85:16;
mwingi wa kusamehe, 4:25-26; 5:74; 15:49; 16:18, 119; 39:53; 85:14; n.k.
mwongozi, 6:71, 88; 92:12;
neema zote zatoka kwake, 16:53;
ni mmoja tu, 2:163; 6:19; 16:22; 23:91-92; 37:1-5; 38:65-68; 112:1-4;
nuru ya mbingu na ardhi, 24:35-36;
nusura yake, 40:51; 110:1-3;
radhi yake tunahitaji, 6:52; 18:28;
rahimu, 5:74; 6:12, 54, 133; 9:117-118; 19:85-96; 52:28; n.k.
sanaa yake, 27:88;
si dhalimu, 4:40;
sifa zake na utukufu wake, 112:1-4; 114:1-3;
sifa zote njema ni zake, 1:2; 17:111; 30:17-19; 34:1; 35:1; 37:180-182; 45:36-37;
sifa zake na utukufu wake, 2:255; 3:2-3, 6, 18; 6:95-103; 25:2-3, 6; 32:2-9; 40:2-3; 43:84-85; 57:1-6; 59:22-24;
sunnah yake (kawaida), 33:38, 62; 35:43; 40:85;
tujipendekeze kwake, 94:8;
tumkumbuke na tumshukuru, 2:114, 152;
tumuabudu na kumtegemea yeye, 11:123;
tumuombe kwa unyenyekevu na kuogopa, 7:55-56;
tunamtegemea yeye, 11:123; 67:29;
tusimsahau, 59:19;
ufalme wote ni wake, 3:189; 4:126; 5:120; 67:1;
uhai wa maisha ni wake, 2:255; 20:111; 28:88; 40:65;
urithi wa mbingu na ardhi ni wake, 3:180; 15:23; 19:40;
utatu ameepukana nao, 4:171; 5:72-73;
vilivyo kwake vitadumu, 16:96;
wa mbinguni na ardhini, 43:84;
waja wake wema, 25:63-76;
wanaokufuru hawamdhuru, 47:32;
wanaomcha, 92:17-21;
yu pamoja nasi popote tulipo, 57:4;
yuko karibu na sisi, 2:186; 34:50; 50:16; 56:85;
yuko katika malindizo, 89:14;
yuko juu, mtukufu, 4:34; 87:1;
yupo mahala po pote, 2:115; 7:7.
Viapo vyake - tazama Viapo vya Mwenyezi Mungu
Mwenyezi Mungu, Fadhila zake, ameumba dume na jike, 43:12; 51:49;
ameanzisha viumbe, atavirudisha na anaturuzuku, 27:64;
ameitandaza ardhi na matunda na vyakula, 55:10-12;
ametueneza katika ardhi, 23:79;
anahuisha na anafisha, 3:156; 6:95; 10:31, 56; 15:23; 22:6;
anateremsha mvua na kuhuisha ardhi, 29:63;
anatuendesha katika bara na bahari, 10:22;
anatuongoza njia, 1:6-7; 93:7;
anawajibu wanaoamini na kutenda mema, 42:26-28;
anawaruzuku wanaadamu na wanyama, 29:60-62;
ardhi, maji, malisho na milima, 79:30-33;
ardhi na mbingu, 41:10-12; 51:47-48;
bahari na marikebu, 16:14; 17:66;
bahari mbili zenye kizuizi baina yao, 25:53; 27:61; 55:19-20;
fakiri anatajirishwa, 93:8;
haki, 6:62; 10:30, 32; 20:114; 31:30; 57:4;
hazihisabiki, 14:34; 16:18;
kamuumba binaadamu na kumfundisha kunena, 55:3-4;
kazijenga mbingu na kazitengeneza, 79:27-28;
kivuli na jua, 25:45-46;
kizazi na viungo, 16:77-78; 23:78;
kufufua ardhi, nafaka, matunda na chemchem, 36:33-35;
kuhisabiwa kwa wanaadamu na majini, 55:31;
kumjibu aliyedhikika, 27:62;
kuondolewa mzigo, 94:2-3;
kuongozwa katika giza na pepo (Upepo), 27:63;
kupanuliwa kifua, 94:1;
kupokea toba na kusamehe, 42:25;
kuumbwa kwa mbingu na ardhi ni vilivyomo ndani yake, 27:60-61; 31:10;
lulu na marijani, 55:22;
maji safi yatiririkayo, 67:30;
majumba, vifaa vinavyotokamana na wanyama, nguo, 16:80-81;
marikebu na wanyama, 43:12-13;
mawaidha, poza, uwongofu, rehema, 10:57;
mbingu na ardhi, mvua na uhai, 43:9-11;
milima, mito, mabarabara, 16:15-16;
miti na matunda, 6:141;
mvua, mimea na matunda, 16:10-11;
neema kutoka mbinguni na ardhini, 14:32-33; 23:17-22;
nyuki, 16:68-69;
pepo (upepo) na mvua, 25:48-50;
rehema baada ya shida, 10:21;
rehema anayoifungua hakuna wa kuizuia, 35:2-3;
rehema anayoizuia hakuna wa kuipeleka mbele, 35:2-3;
tumefadhilishwa mbalimbali, 16:71-73;
uadilifu, 55:7-9;
umbo la mwanaadamu, nasaba na ndoa, 25:54;
usiku na mchana, jua, mwezi na nyota, 16:12-13;
usiku, usingizi na mchana, 25:47;
usiku na mchana, 79:29;
utajo unatukuzwa, 94:4;
vimetiishwa vilivyomo ardhini, baharini na mbinguni, 22:65; 31:20; 36:71-73; 45:12-13;
viumbe vinamuomba yeye, 55:29;
vyombo vya baharini, 55:24;
wanyama, 6:142;
wanyama na matunda, 16:66-67;
wanyama na tusivyovijua, 16:5-8;
yatima anapewa makazi mazuri, 93:6.
Mwenyezi Mungu, ishara zake, anaviapia alivyoviumba, 89:105;
adhabu inawangoja wanaojivuna na kuzifanyia mzaha aya, 45:8-9;
ardhi inahuishwa baada ya kuteremka mvua, 41:39-40; 45:5;
baadhi ya watu wanadhani ni simulizi za uwongo, 68:15;
katika enzi ya mfalme Taluti, 2:248;
katika maumbile, 6:95-99; 10:5-6; 30:20-27; 45:3-6;
katika ardhi, nafsi na mbingu, 51:20-23;
kuadhibiwa kwa wanaozikadhibisha aya, 3:11, 108;
kutoendelea kuleta miujiza, 6:109; 10:20; 13:7; 17:59; 21:5-6;
kuumbwa kwa mbingu na ardhi, 2:164; 3:190;
maji, 56:68-70;
makafiri wanazikanusha, 2:118;
malipo ya watakaozikadhibisha na kuzifanyia kiburi, 7:36-41, 146-147;
mauti, 56:60-62;
mbegu ya uzazi, 56:57-59;
mimea tunayoipanda, 56:63-67;
moto, 56:71-73;
nafsi itaomba kurejea tena duniani, 39:58-59;
ngamia, mbingu, milima na ardhi, 88:17-20;
pepo na majahazi, 30:46; 42:32-35; 31:31;
tumebainishiwa aya tupate kufikiri, 2:219-220;
ukweli utathibitika katika nchi za mbali na katika nafsi, 41:53;
usiku na mchana, 17:12;
usiku, jua na mwezi, 36:37-40;
uteremsho wa kitabu unatosha, 29:49-51;
waligeuzwa waliozikadhibisha aya, 40:63;
wanaokadhibisha ni viziwi, mabubwi na wamo gizani, 6:39;
wanaozikadhibisha wanavutwa kidogo kidogo katika adhabu, 7:182;
wanaozikadhibisha wanajidhulumu nafsi zao, 7:177;
waovu wanaachwa katika upotofu, 7:186;
waovu wanataka wapewe utume, 6:124;
wazee walichukuliwa katika majahazi, 36:41-44.
Mwezi, sura zake, 2:189.
Mwisho mwema, kwa wanaomcha Mwenyezi Mungu, 5:119; 25:15; 78:31; 98:1.
Mwizi, malipo yake, 5:38-39.
Naas, S. 114.
Nabaa, S. 78.
Nabii - tazama Mitume.
Nadhir (kabila ya kiyahudi), 59:2-7, 11-17.
Nadhiri, 3:35; 19:26.
Nafsi, haikalifishwi, 2:286; 7:42; 23:62;
italipwa kwa yale iliyoyachuma, 6:164; 10:30; 14:51; 53:38-41.
inayojilaumu inaapiwa, 75:2;
itakuta mema na maovu iliyofanya, 3:30; 74:38;
italipwa amali ilizofanya, 16:111;
kujitetea kwake, 16:111;
tumeumbwa katika nafsi moja, 39:6;
yenye kutua itaridhika, 89:27-30;
zote zitaonja mauti, 21:35;
Nahl, S. 16.
Najm, S. 53.
Naml, S. 27.
Nasr, S. 110.
Nasra (sanamu), 71:23.
Naziat, S. 79.
Ndege, 16:79; 24:41; 67:19.
Ndoa, asiye na uwezo aoe mjakazi, 4:25;
idadi ya wake kuoa, 4:3;
kufanya suluhu wakati wa ugomvi, 4:35, 128;
kwa washirikina au watumwa, 2:221;
kwa mafakiri, 24:32;
kwa wanawake wa kiislamu na waliopewa kitabu, 5:5;
mipaka aliyowekewa Mtume, 33:28, 50-52;
Mtume na wake zake, 33:28-29, 50-52;
tumeruhusiwa kuoa akraba zetu, 33:50;
uadilifu baina ya wake, 4:129;
wakati wa talaka mahari yasidaiwe, 4:20-21;
wanaume ni walinzi wa wanawake, 4:34;
wanawake tulioharimishiwa, 4:22-24;
wasiokuwa na uwezo wajizuilie na machafu, 24:33;
za wazinifu na washirikina, 24:3;
aliyetalakiwa bila ya kuguswa hana eda, 33:49;
Piya tazama Eda na Talaka.
Ndovu, kisa cha, 105:1-5.
Ngamia-Jike, ishara ya utume wa Nabii Saleh, 7:73; 17:59; 26:155-158.
Ngawira, 8:1; 48:15, 19-21;
namna ya kugawanya, 8:41; 59:7-8.
"Ngojeeni, na sisi tunangojea", 9:52; 10:102; 11:122; 20:135; 44:59; 52:31.
Nguo, za utawa ndizo bora, 7:26.
Nia, ya kuongoka, 81:28-29.
Nidhamu, ndiyo uislamu, 3:152; 61:4.
Nisaa, S. 4.
Njia iliyonyoka, 1:6; 6:153; 42:52-53; 67:22; 90:10-18.
Nuh, S. 71.
Nuhu, 6:84; 7:59-64; 10:71-73; 11:25-49; 21:76-77; 23:23-30; 25:37; 26:105-122; 29:14-15; 37:75-82; 51:46; 54:9-15; 69:11-12; 71:1-28;
mkewe alikuwa mchafu, 66:10;
mwanawe aliangamizwa, 11:45-47.
Nur, S. 24.
Nuru, imedhihirishwa, 4:174;
mfano wake, 24:35-36;
na giza, 6:1;
tutafanyiwa ya kwenda nayo (akhera), 57:28;
za waislamu zinakwenda mbele na kuliani, 57:12-15; 66:8.
Nyani, walioasi wageuzwa manyani, 2:65; 7:166.
Nyota, alama za kufuatia njia, 16:16;
humsujudia Mwenyezi Mungu, 22:18;
mbingu ya karibu imepambwa nazo, 37:6; 67:5;
Mwenyezi Mungu anaziapia, 53:1; 86:1-4;
zimetiishwa kwa amri ya Mwenyezi Mungu, 7:54; 16:12;
zitafutwa nuru zake, 77:8;
zitapukutika, 81:2; 82:2.
Nyuki, 16:68-69.
Nyumba, adabu za kuingia majumbani, 24:27-29.
Pambo la Mwenyezi Mungu, 2:138.
Pango, la Thaur, 9:40.
Pangoni, vijana wa, 18:9-22, 25-26.
Parapanda, kupulizwa kwake, 6:73; 23:101; 39:68; 69:13.
Pepo (Upepo), bishara njema kabla ya kunyesha mvua, 7:57-58; 15:22; 30:46, 48;
Mwenyezi Mungu anaziapia, 77:1-4;
za rangi ya manjano, 30:51.
Peponi, amani na hakuna kuonja mauti, 44:51-57;
bughudha itaondoshwa vifuani, 7:43; 15:47-48;
bustani zipitazo mito mbele yake na kukaa humo milele, 3:15, 198; 4:57; 9:72;
bustani za makazi mazuri, 32:19;
bustani, chemchemu na salama, 15:45-46;
furaha, viti vya fahari na salama, 36:55-58;
ghorofa zipitazo mito chini yake, 39:20;
hakuna huzuni, tabu wala kuchoka, 35:34-35;
hakuna hofu wala kuhuzunika, 43:68-73;
ihsani italipwa ihsani, 55:46-77;
kutosikia upuzi na kupata riziki, 19:61-63;
kwa anaemuogopa mola wake, 98:8;
mahali pazuri kabisa, 38:49-52; 54:54-55;
maisha ya raha, 69:21-24;
makaribisho, bustani, viti, watumishi, wanawake na vivuli, 56:11-38;
makaribisho, manukato, bustani na salama, 56:88-91;
makazi ya aliyekataza nafsi yake na matamanio, 79:40-41;
malaika watamtukuza na kumsifu Mola wao, 39:73-75;
mambo saba yatakayo turithisha nayo, 23:1-11;
mapambo ya dhahabu, lulu na hariri, 18:31; 22:23; 35:33;
matunda, vitanda, vinywaji na wanawake, 37:41-49;
mito ya aina mbalimbali, 47:15;
nafsi yenye kutua itaridhika, 89:27-30;
neema na furaha, 76:5-22;
nuru zinakwenda mbele na kuliani, 57:12;
nyuso zitamemetuka na kuwa radhi, 88:8-16;
pepo italetwa karibu, 50:31-35;
pepo ni ya Mwenyezi Mungu, 89:30;
rehema na radhi, 9:21-22;
salama, 10:10; 15:46; 36:58; 56:91;
wafanyao wema watakuamo, 83:22-28;
wake waliotakasika, vivuli, 4:57;
wakweli utawafaa ukweli wao, 5:119;
wanaomcha Mwenyezi Mungu wamewekewa kufuzu, 78:31-35;
watakaofanya vitendo vizuri wataingia, 4:124;
waumini watakutanishwa na jamaa zao wema, 52:17-24;
waumini watapata watakayoyataka, 42:22;
wenye kutoa mali yao kwa kujitakasa, 92:17-20.
Pombe - tazama Ulevi.
Punja, 83:1-6.
Qadr, S. 97.
Qaf, S. 50.
Qalam, S. 68.
Qamar, S. 54.
Qariah, S. 101.
Qasas, S. 28.
Qaynuqai (kabila ya kiyahudi), 59:15.
Qiyamah, S. 75.
Qubaa (msikiti), 9:107-108.
Quraidha (kabila ya kiyahudi), 33:26-27.
Qurani, alisomeshwa Mtume wala hakusahau, 87:6-7;
aya zake zimetengenezwa vizuri, 11:1;
aya zake ziwaziwazi, 29:47-49;
haifikiliwi na batili, 41:42;
haiguswi ila na walio tohara, 56:77-80;
haikuteremshwa juu ya mtu mkubwa, 43:31-32;
haina kombo, 18:1-2; 39:28;
haki itokayo kwa Mwenyezi Mungu, 32:3; 35:31; 39:41;
ilidhibitiwa kifuani mwa Mtume, 75:16-18;
imefanywa nyepesi, 19:97; 44:58; 54:17, 22, 32, 40;
imefundishwa na Mwenyezi Mungu, 55:1-2;
imeteremshwa kwa lugha ya kiarabu, 12:2; 13:37; 16:103; 41:44; 42:7; 43:3;
imeteremshwa kidogo kidogo, 17:106; 25:32; 76:23;
imetolewa katika ubao uliohifadhiwa, 85:21-22;
ina aya nyepesi na zakubabaisha, 3:7;
inabainisha kila linalohitajiwa, 15:1; 25:33; 26:2; 27:1; 28:2; 36:69-70; 43:2;
inabainisha hitilafu za Mayahudi, 27:76;
inasadikisha vitabu vilivyopita, 35:31;
inatoa habari njema na maonyo, 17:9-10; 18:2-4; 19:97;
inatoka kwa Mwenyezi Mungu, 6:92; 17:105-107; 27:6; 45:2;
inatoka katika kurasa zilizohishimiwa, 80:13-16;
inawatoa watu katika giza kuwapeleka katika nuru, 14:1;
isomwapo tuisikilize na tunyamaze, 7:204-206;
isomwe kama ipasavyo, 2:121;
kazi zisizokuwa zake, 13:31;
kitabu chenye hikima, 10:1; 31:2; 36:2;
lau ingeliteremshwa juu ya mlima, 59:21;
maelezo ya vitabu vilivyopita, 10:37;
makumbusho, 50:45;
maneno yake yanawafikiana, 39:23;
maonyo na mazingatio, 4:82; 6:19;
mauidha, 20:2-7; 26:210-220;
mazingatio, 47:24;
Mwenyezi Mungu ni shahidi wake, 6:19;
Mwenyezi Mungu anaahidi kuilinda, 15:9;
Mwenyezi Mungu anaiapia, 36:2; 38:1;
nasaha, 80:11-12;
ni hukumu, 13:36-37;
pazia baina ya waumini na wasioamini, 17:45-47;
ponyo na rehema, 17:82;
si mtungo wa binaadamu, 2:23; 10:37-38; 11:13; 17:89;
sio mkusanyiko wa uwongo, 15:91;
tuifuate na tumche Mwenyezi Mungu, 6:155;
tuisome vilivyo na tusimamishe sala, 73:4; 29:45;
tuisome na kuidhibiti, 75:16-18;
tumeifanya ni kitu kilichoachwa, 25:30;
ukumbusho kwetu, 43:44-45;
ukumbusho kwa walimwengu wote, 81:26-29;
uwongofu na rehema, 16:64; 29:51; 31:3;
wanaikadhibisha waliokufuru, 84:20-25;
yamo kila mifano, 17:89; 18:54; 39:27;
Piya tazama Kitabu na Wahyi.
Quraysh, S. 106.
Raad, S. 13.
Radhi, ya Mwenyezi Mungu, 2:272; 6:52; 13:22; 18:28; 30:39.
Rahman, S. 55.
Ramadhani, (mwezi wa kufunga), 2:185.
Rass - tazama Handaki.
Riba, 2:275-276, 278-280; 3:130; 4:161.
Riziki, 10:59; 16:73; 19:62; 42:12; 51:57-58; 67:21;
Mwenyezi Mungu humpa amtakaye, 2:212; 3:27; 24:38.
Roho, huteremka katika usiku wa Laylatul-Qadr, 97:4;
hutukuliwa katika usingizi, 39:42;
imepulizwa kutokamana na Mwenyezi Mungu, 15:29;
itokayo kwa Mwenyezi Mungu inawatia nguvu waumini, 58:22;
kupanda kwake ni kama miaka elfu hamsini, 70:4;
ni jambo linalohusika na Mwenyezi Mungu, 17:85-86;
takatifu, ametiwa nguvu nayo Nabii Isa, 2:87, 253;
zitasimama safu safu, 78:38.
Rum, S. 30.
Saaffat, S. 37.
Saba (nchi), 27:22; 34:15-21.
Saba, S. 34.
Sad, S. 38.
Sadaka - tazama Zaka.
Safaa na Marwa (majabali mawili), 2:158.
Safari, kuitembea ardhi, 6:11; 22:46; 27:69; 29:20-22; 30:9, 42; 35:44; 40:21, 82; 47:10.
Saff, S. 61.
Sajdah, S. 32.
Sala, 1:1-7; 2:238-239; 4:43; 5:6; 11:114; 17:78-81; 50:39-40; 52:48-49; 73:1-8, 20;
adhabu itawathubutukia wanaosali, 107:2-7;
humzuilia mtu na mambo machafu, 29:45;
katika safari au vita, 4:101-104;
nyakati zake, 11:114; 17:78-79; 20:130; 30:17-18; 50:39-40;
tuisimamisheni, 2:110;
ya Ijumaa, 62:9-11;
Piya tazama Maombi.
Salamu (amani), 6:54; 7:46; 10:10; 11:69; 14:23; 16:32; 24:27, 61; 36:58; 39:73.
Saleh, 7:73-79; 11:61-68; 26:141-159; 27:45-53.
Salsabili (mto wa peponi), 76:18.
Samiriy (mfuasi wa Nabii Musa), 20:85, 95-97.
Sauti, usia wa Mwenyezi Mungu, 7:55; 31:19.
Shahidi - tazama Mashahidi.
Shams, S. 91.
Shari (uharibifu), barani na baharini, 30:41;
ya vilivyoumbwa, 113:1-5; 114:4-6;
Shetani, adui yetu, 35:6; 36:60;
aliwatelezesha Adam na Hawaa, 2:36;
amebaidishwa (ametengwa) na rehema, 3:36; 15:17, 34; 16:98;
anaahidi kuwapoteza waja, 4:117-120;
anayoyatia Mwenyezi Mungu huyaondosha, 22:52-53;
atakataa kuwa ni mshirika wa maasi, 14:22;
hana nguvu juu ya waumini, 16:99-100;
hutia uadui na bughudha baina yetu, 5:91;
kujikinga nae, 3:36; 15:17; 16:98.
kujikinga nae tusomapo Qurani, 16:98;
ni mlaghai, 8:48; 59:16;
tujikinge na maamrisho yake, 7:200-201;
tunatahadharishwa kujiepusha nae, 24:21;
Piya tazama Iblisi.
Shuaraa, S. 26.
Shuebu, 7:85-93; 11:84-95; 29:36-37.
Shuura, S. 42.
Sijjin, daftari la watu wabaya, 83:7-9.
Siku, kuumbwa kwa mbingu saba, 41:12;
malaika na roho kupanda kwa Mwenyezi Mungu, 70:4;
moja ya Mwenyezi Mungu ni miaka elfu kwetu, 22:47; 32:5;
za kuumbwa ulimwengu, 7:54; 32:4; 41:9-10.
Sinai (mlima), 19:52; 95:2.
Singizia (beza), 9:79; 24:23; 68:11-12.
Siri, inayokubaliwa, 4:114;
kuhifadhi na kutoa, 4:148.
minong'ono miovu imekatazwa, 58:7-10, 12-13;
Subira, 2:45, 153; 3:186, 200; 10:109; 11:115; 16:126-127; 20:130-132; 40:55, 77; 46:35; 50:39; 70:5; 73:10-11.
Suleimani, 21:79; 27:15-44; 38:30-40;
akiamrisha upepo na mashetani, 21:81-82; 34:12-14; 38:36-39;
hakukufuru, waliokufuru ni mashetani, 2:102;
miongoni mwa kizazi cha Nuhu, 6:84;
na malkia wa Sabaa, 27:22-44;
na wadudu chungu, 27:18-19;
na kidege hudi-hudi, 27:20-26.
Sura (Qurani), walioamini inawazidishia imani, 9:124-127.
Suwaa (sanamu), 71:23.
Taa - tazama Utiifu.
Tabuk, 9:40-42, 43-59, 81-89, 120-122.
Taghaabun, S. 64.
Taha, S. 20.
Tahrym, S. 66.
Takaathur, S. 120.
Takwyr, S. 81.
Talaka, eda, kanuni na nyakati zake, 65:1-7;
kitoka nyumba, 2:241;
kwa ambao hawajagusana, 2:236-237; 33:49;
si kitu kinachotiliwa nguvu, 4:128-130;
ya kwanza, ya pili, ya tatu, 2:228-232;
Piya tazama Eda na Ndoa.
Talaq, S. 65.
Taluti, 2:247-249.
Taqwa, 2:2; 3:102; 47:17; 59:18-19;
Piya tazama Kumcha Mwenyezi Mungu.
Tariq, S. 86.
Tasnimu (chemchem), 83:27-28.
Tawba, S. 9.
Tembo - tazama Ulevi.
Thaalaba, kisa chake na walio mfano wake, 9:75-80.
Thamudi (watu), 7:73-79; 11:61-68; 25:38; 26:141-159; 27:45-53; 29:38; 41:17; 51:43-45; 54:23-31; 69:4-8; 85:17-20; 89:9-14; 91:11-15;
Tini, kama alama tukufu, 95:1.
Toba, 4:64; 6:54; 42:25.
Tohara, 4:43; 5:6.
Tubba (watu), 44:37.
Tur, S. 52.
Tusiogope shetani, 3:175.
Tyn, S. 95.
Uadilifu, 4:65;
baina ya wake, 4:129.
Mwenyezi Mungu ameamrisha, 7:29; 16:90; 57:25;
Qurani imeshikamana nao, 4:105;
tunapohukumu baina ya watu, 4:58;
tuwe wenye kuusimamisha, 4:135.
Ubadhirifu, umekatazwa, 17:26-29; 25:67.
Ubakhili (na husuda), 3:180; 4:32; 57:24;
unakatazwa, 17:29; 47:38.
Ubao uliyohifadhiwa, asili ya vitabu vyote, 43:4; 85:22; 56:77-78.
Ubaya (dhuluma), kusamehe au kulipiza, 42:39-43.
Ubishi na watu wa Kitabu, 29:46.
Uchafu (uovu), 4:15-18.
Uchaji wa Mwenyezi Mungu - tazama Taqwa.
Ufufuo - tazama Kiama na Kufufuliwa.
Uhud (vita), 3:121-128, 140-180.
Uislamu, 2:143-144; 3:110; 42:15;
kufunguliwa kifua kuukubali, 39:22;
ni kujisalimisha, 6:14, 163; 39:12;
ni ihsani, 49:17;
wa kwanza walioufuata, 9:100.
Ujira, ulioandaliwa wanaume na wanawake wema, 33:35;
Piya tazama Jaza.
Ukweli (haki), tukio lake, 69:1-3.
Ulevi, 2:219; 4:43; 5:90.
mito ya peponi, 47:15.
Umbo, (jambo) "kuwa" nalo huwa, 2:117; 6:73; 16:40; 36:82; 40:68; 54:50;
(maumbile), mbali mbali, 2:164; 3:27; 21:33; 25:60-61; 31:10, 29; 35:27-28; 39:5;
(maumbile), si kwa mchezo, 21:16-17;
(ulimwengu), kwa siku sita, 7:54; 10:3; 11:7; 32:4; 57:4;
aliyeanzisha na atakayerejesha, 29:19-20;
jipya, 13:5; 14:48; 21:104;
la mwanaadamu, 3:6; 15:26; 23:12-14; 25:54; 32:7-9; 39:6; 55:14; 75:37-39; 96:2;
la mbingu na ardhi kubwa kuliko la wanaadamu, 40:57; 79:27;
la majini, 15:27; 55:15;
la mbingu na ardhi lilikuwa limeambatana, 21:30;
ni dhihirisho la haki, 15:85; 16:3; 45:22; 46:3; 39:5;
Piya tazama Viumbe.
Umma, bora, 2:143-144; 3:110;
mmoja, 21:92; 23:52-54.
Umoja wa Mwenyezi Mungu, 2:163; 6:19; 112:1-4.
Umra, 2:196.
Unyenyekevu, 6:42-43; 7:161; 57:16;
hata kwa vivuli, 13:15; 76:14.
Uoga wa binaadamu, 4:77.
Uombezi, 6:51, 70; 10:3; 19:87; 39:44; 43:86; 53:26.
Uovu, wataadhibiwa wanaopenda uenee, 24:19.
Upelelezi, dhana na usengenyaji, 49:12; 104:1.
Upepo - tazama Pepo.
Upotovu, 4:51-55, 123; 10:27-30; 26:221-226; 42:36-39;
huondolewa na wema, 13:22; 23:96; 41:34;
mwishowe ni kuzikadhibisha aya, 30:10;
ni uchochezi wa mashetani, 19:83;
ni dhulma ya shetani, 59:15-17;
si kurogwa, 15:15-16;
unaotokamana na nafsi zetu, 4:79;
unarudisha nyuma, 6:71;
utalipwa sawa, 6:160.
Upweke wa Mwenyezi Mungu, 2:163; 6:19; 112:1-4.
Urafiki, na makafiri, 3:28; 4:144; 5:57-58;
na watu wa kitabu, 5:51, 57-58.
Urathi - tazama Urithi.
Urithi, 2:180, 240; 4:7-9, 11-12, 19, 33, 176; 5:106-108.
Uruhubani, haukuandikwa katika Injili, 57:27.
Usengenyaji, dhana na upelelezi, 49:12; 104:1; 68:10-13.
Ushahidi, kwa wanawake wanaosingiziwa, 24:4-10;
mnapokopeshana, 2:282-283;
utatolewa na viungo, 36:65; 41:20-23;
wakati wa kuusia, 5:106-108.
Ushindi, aliopewa Mtume Muhammad, 48:1-3; 110:1-3;
tutakaopewa, 61:13.
Usiku, Mwenyezi Mungu anautia giza na kuuapia, 79:29; 92:1; 93:2;
wa Laylatul-Qadr, 97:1-5.
Utatu, 4:171; 5:72-73.
Utawa, 2:212;
kuepukana na tulioharamishwa, 5:93;
kufanya ihsani, 4:36;
kufuata mila ya nabii Ibrahimu, 4:125;
kumkumbuka Mwenyezi Mungu nyakati zote, 3:191-195;
kutoa tunavyovipenda, 3:92;
mpaka uukate mlima, 90:11-18;
sifa zake, 2:177; 3:16-17, 133-135;
wauzao nafsi zao kwa kutaka radhi, 2:207-208;
Piya tazama Masalih.
Utiifu, kwa Mwenyezi Mungu na Mtume wake, 3:132; 4:59, 64, 66, 80-81; 5:92; 8:20-25, 46; 24:51-52, 54, 56; 47:33.
Uzee, kurudishwa katika umri dhalili, 16:70; 22:5.
Uzeri, 9:30.
Uzza (sanamu), 53:19.
Viapo, 2:224-225; 24:22, 53;
kafara ya kufungua, 5:89; 66:2
tusimtii muapaji sana, 68:10;
tusivifanye ni njia ya kudanganyana, 16:94;
wanaoapa kujitenga na wake zao, 2:226-227.
Viapo vya Mwenyezi Mungu, Kwa, alfajiri, 74:34; 89:1;
ardhi na aliyeitandaza, 91:6;
farasi, 100:1;
haki yake, 4:65;
jua na muangaza wake, 91:1;
kalamu, 68:1;
kila kilichozaa na kilichozaliwa, 90:3;
kitabu, 43:2; 44:2;
malaika, 79:1;
masiku kumi, 89:2;
mbingu na kijacho usiku, 86:1;
mbingu zenye buruji, 85:1;
mbingu na aliyezijenga, 51:7; 91:5;
mchana, 91:3; 92:2; 93:1;
mji wa Makka, 90:1; 95:3;
mlima sinai, 95:2;
mwezi, 74:32; 91:2;
nafsi na aliyeitengeneza, 75:2; 91:7; 92:3;
nafsi yake, 4:65; 15:92; 16:56, 63; 19:68; 34:3; 51:23; 64:7;
nyota, 53:1; 81:15;
pepo, 51:1-4; 77:1-3;
Qurani, 36:2; 38:1;
shafi na witri, 89:3;
siku ya kiama, 75:1;
tini na zaytuni, 95:1;
usiku, 74:33; 89:4; 91:4; 92:1; 93:2;
zama, 103:1.
Vidole, kusawazishwa ncha zake, 75:4.
Vipote, vimekatazwa, 30:32; 42:13-14; 43:64-65; 45:17, 28.
Vita Vya, Badri, 3:13; 8:5-19, 41-48, 65-67;
Handaki (Ahzab), 33:9-27;
Huneini, 9:25-28;
Khaibar, 48:15;
Tabuk, 9:38-42, 43-59, 81-99, 117-122;
Uhudi, 3:121-128, 140-180.
Viumbe (maumbile), si kwa mchezo, 21:16-17;
aliyeanzisha na atakayerejesha, 10:4; 27:64; 29:19-20;
ni dhihirisho la haki, 44:39;
sababu ya kuumbwa, 51:56-58;
vimefanywa na maji, 21:30; 24:45;
vinamsujudia Mwenyezi Mungu, 16:48-50;
wapya, 17:49, 98; 35:16;
Piya tazama Umbo.
Viungo vitatoa ushahidi, 36:65; 41:20-23.
Vyakula, na kumcha Mwenyezi Mungu, 5:93;
vya halali na haramu, 2:168, 172-173; 5:1, 3-5, 87-88, 96; 6:118-119, 121, 145-146; 16:114-118;
Piya tazama Kula.
Wabaya, nyuso zao zitasunukishwa motoni, 27:90; 67:22.
Waddi (Sanamu), 71:23.
Wahyi (Ufunuo), 17:85-87; 40:15; 42:3, 7, 51-53.
alioteremshiwa nabii Musa na Isa, 2:87;
haki ya yakini, 69:50-51;
kila uma umejaaliwa sharia na njia yake, 5:48;
kubadili aya kwa aya, 16:101;
maonyo, rehema na uwongofu, 7:2, 203;
tusiwe na shaka, 6:114; 11:17;
tusome kwa jina la mola, 96:1;
umepitia kwa Jibrili, 16:102-103; 26:192-199; 81:19-21;
unaofutwa au kusahaulizwa, 2:106;
unapambanua haki, 86:11-14;
uteremsho wa Mwenyezi Mungu, 41:2-4, 6-8;
uwongozi wa Mwenyezi Mungu, 3:73;
wenye shaka watoe mfano wake, 2:23;
Piya tazama Kitabu na Qurani.
Waislamu wanaume na wanawake, wanaolingana, 33:35-36.
Wajibu, kutekeleza, 5:1.
Wakati, Mwenyezi Mungu anauapia, 103:1-3;
siku moja ni miaka elfu hamsini, 70:4;
ulimpitia binaadamu katika dahari, 76:1.
Wakeze Mtume, mabinti na wanawake wajihifadhi, 33:59-62;
ni haramu kwetu kuwaoa, 33:53
mtume amehalalishiwa, 33:50-52;
waulizwapo, 33:53-55;
si kama wanawake wengine, 33:28-34.
Wakristo - tazama Manasara.
Waliokufuru 2:28; 3:4, 86-91; 4:89;
baada ya kuamini, 16:106-109;
bidii zao zinapotea bure, 18:102-106;
hata wakitoa fidia haitapokelewa, 5:36-37;
hazitawafalia mali na watoto, 3:10-12, 116;
hubisha aya za Mwenyezi Mungu, 40:4-6;
hugeuza migongo yao wakati wa vita, 48:22-23;
husamehewa wanapowacha mabaya na kutubia, 8:38; 9:11;
hutoa mali zao kuzuilia watu njia ya Mwenyezi Mungu, 8:36;
ibada yao ilikuwa ni kuaga miunzi na kofi, 8:35;
kutofanya urafiki nao lakini kuwafanyia ihsani na uadilifu, 60:1-9;
kwa kufuata ya baba zao, 5:104;
kwa kukanusha alama za imani, 4:136;
kwa kumshirikisha Mwenyezi Mungu, 2:165-167; 5:73;
kwa kusema Mwenyezi Mungu ni masihi, 5:17, 72;
kwa ukaidi, 2:6-7; 3:90; 4:137;
marafiki wenyewe kwa wenyewe, 8:73;
na kuzuilia watu njia ya haki, 4:167;
na kudhulumu, 4:168;
nyoyo zao haziamini akhera, 6:113; 16:22; 83:11;
tujitenge na itikadi zao, 109:1-6;
tunahadithiwa sifa zao, 9:73-78; 14:3;
vitendo vyao ni kama mazigazi, 24:39;
wakafa hali ni makafiri, 2:161-162; 3:91;
waliangamizwa, 6:6;
waliokadhibisha na kuua waonyaji, 2:61; 3:21-22, 181-184;
waliwazuilia waislamu kwenda katika msikiti mtukufu, 48:25-26;
wamo katika majivuno na upinzani, 38:2-14;
wana matumaini ya kuingizwa peponi, 70:36-39;
wanadai hawatafufuliwa, 64:7;
wanavunja ahadi, 8:56;
wanaichukia haki, 43:78;
wanajadili yasiyokuwa na haki, 18:56-57;
wanaogopeshwa na waumini, 8:60-61;
wanaokadhibisha aya, 46:7-8; 64:10; 83:13; 84:21-22; 90:19;
wanaomba adhabu kutoka kwa Mwenyezi Mungu, 8:32-35;
wanaposomewa aya husema ni hadithi za watu wa kale, 8:31;
wanasema uwongo juu ya nafsi zao, 6:24;
wanatakabari, 19:73-82;
wanauza ahadi ya Mwenyezi Mungu, 3:77, 177;
waonja ubaya wa mambo yao, 64:5-6;
wasema mbona hakuteremshwa malaika, 6:8-9;
wataachwa wakitangatanga, 6:110;
watabeba mizigo (ya dhambi) maradufu, 16:25;
watafedheheshwa, 16:27;
wataikubali haki siku ya kiama, 6:28-30;
watarudishiana maneno wao kwa wao, 34:31-33;
watatamani lau wangalikuwa Waislamu, 15:2;
watategwa kwa vitimbi vyao, 52:35-44;
zilipinduliwa hila zao, 8:30.
Wanafiki, hawamuamini Mwenyezi Mungu na siku ya mwisho, 2:8;
hawana mashiko, 4:71-73, 141-143;
na mori wao, 2:204-206;
nyoyoni mwao mna maradhi, 2:10;
tabaka ya chini kabisa katika moto, 4:145;
tusifanye urafiki nao, 4:88-89;
viziwi, mabubu na vipofu, 2:17-18;
waharibifu, 2:11-12;
wakhiari upotofu kuliko uongofu, 2:16;
wanaamrisha mabaya na kukataza mazuri, 9:67-69;
wanadanganya nafsi zao, 2:8-9;
wanajiweka mbali na haki, 4:60-63;
wanakataa kwenda vitani, 3:167-168;
wanaogopa kudhihirishwa, 9:64-65;
wanaogopa kufa na kiza, 2:19-20;
waoga, waongo na wanafanya viapo vyao kuwa ngao, 58:14-19; 59:11-14; 63:1-4;
wapumbavu na wacheza shere, 2:13-15.
Wanaofanya hila mbaya, wameaminisha (?), 16:45-47.
Wanaopigana na Mwenyezi Mungu na Mtume wake, 5:33-34.
Wanaoritadi, 47:25.
Wanawake, kuwarithi na kuwatalaki, 4:19-21;
malipo kwa wanaowasingizia, 24:4-5, 11-20, 23-25;
mifano ya wanawake wema na waovu, 66:10-11;
ni kama konde zetu, 2:223;
tujitenge nao wakati wa hedhi, 2:222-223;
tulioharamishiwa kuoa, 4:22-24;
tusiowe wake walioolewa na baba zetu, 4:22;
tusiwadhulumu, 4:127;
tusiwaite wake zetu mama zetu, 58:1-3;;
waislamu wanaohama, 60:10-12;
wajihifadhi, 24:31;
wameumbwa katika nafsi moja, 4:1;
wanaofanya machafu miongoni mwao, 4:15;
wanaume ni walinzi wao, 4:34;
waovu kwa wanaume waovu, 24:26;
wema kwa wanaume wema, 24:26.
Wanyama, 6:138-140, 143-144;
bahira, saiba, wasila na hami hawakuharamishwa, 5:103;
faida yao kwa wanaadamu, 16:5-8;
ni umati kama sisi, 6:38.
Waqiah, S. 56.
Warumi, 30:2-5.
Wasabai, 2:62; 5:69; 22:17.
Washairi, 26:224-227; 36:69; 69:41.
"Washirika", Mwenyezi Mungu hana, 10:34-35, 66; 16:86; 28:62-64, 71-75; 30:40; 42:21.
Washirikina, ni najisi wasiukurubie msikiti mtukufu, 9:28.
Wasia, 2:180-182; 5:106-108.
Watoto, 2:233; 42:49-50.
Watu, imewakaribia hisabu nao wamo katika mghafala, 21:1-3;
mtawa anahishimiwa zaidi mbele ya Mwenyezi Mungu, 49:13;
tumeumbwa katika nafsi moja, 4:1; 39:6; 49:13;
umbile lao linawafikiana na Uislamu, 30:30;
watadhurika na jeuri zao, 10:23;
wote walikuwa kundi (dini) moja, 2:213; 10:19;
Wema - tazama Masalih na Utawa.
Waumini, daraja zao, 8:4;
furahini kwa biashara mnayofanya na Mwenyezi Mungu, 9:111; 61:10-11;
hawatadhuriwa, 3:111; 5:105;
hawatakuwa na khofu, 10:62;
hawataomba ruhusa kutoipigania dini, 9:43-45;
huthubutishwa na kauli thabiti, 14:27;
katika zama za Mitume, 2:62;
kusamehewa maovu yao, 29:7;
kuweni pamoja na wakweli, 9:119;
malaika ni vipenzi vyao, 41:30-31;
mcheni Mwenyezi Mungu, 3:102;
mcheni na tubuni kwa Mwenyezi Mungu, 5:35; 66:8;
mwenendo wao, 33:69-71; 48:29;
na saumu, 2:183-185;
na subira na sala, 2:153;
na kisasi, 2:178-179; 42:41;
na udhaifu wa imani, 4:97-100;
na kuua, 4:92-93;
na wasiofaa kuwa marafiki zao, 3:28; 4:144; 5:57-58;
ni marafiki wao kwa wao, 9:71;
ni warithi wa pepo, 23:10-11;
ni masidiki na mashahidi, 57:19;
nyoyo zao zinyenyekee kwa kumkumbuka Mwenyezi Mungu, 57:16;
shikamaneni wala musifarakane, 3:103;
sifa zao, 8:2-4; 9:71, 111-112; 10:104-106; 13:20-24, 28-29; 23:1-11, 57-61; 28:53-55; 32:15-17; 42:36-39; 49:7,15;
sote ni ndugu, 49:10;
tabia zao mbele ya mtume, 24:62-63;
wafanye suluhu baina yao, 49:9-10;
wajiepushe na dhana, upelelezi na kusengenyana, 49:12;
walioadhibiwa watafuzu, 85:6-11;
waliohama na wakapigania dini, 8:72, 74-75; 9:20;
waliotoa msaada na makao, 8:7;
walivyohalalishiwa na walivyoharamishiwa, 2:172-173;
wamtegemee Mwenyezi Mungu, 64:13;
wanaoamrisha mema na wakakataza maovu, 3:104, 110;
wanaombewa msamaha na malaika, 40:7-9;
wanaopigania dini, 4:95; 9:20-21, 88-89;
wanapohitilafiana, 4:59;
wanatahadharishwa na makafiri, 3:118-120, 196; 9:23-24; 60:13;
wanaushinda udhaifu, 8:65-66;
wanayakinishiwa ardhi ina wasaa, 29:55-57;
wapendana baina yao, 8:63;
wasaidizi wa kutangaza dini, 61:14;
waseme maneno mazuri, 17:53-55;
waseme wanayoyatenda, 61:2-3;
wasifanye jambo ila kwa ithibati, 4:94;
wasihuzunike sana wala wasifurahi sana, 57:23;
wasikae na wanaokadhibisha aya, 4:140; 6:68;
wasimamishe sala na watoe walivyoruzukiwa, 14:31;
wasiregee na kutaka suluhu, 47:35;
wasiulize yasiokuwa na haja, 5:101-102;
wasome na wafundishe, 9:122;
watafutiwa makosa yao, 47:2;
watakutanishwa na jamaa zao walioamini, 52:21;
watapata rehema, nuru na msamaha, 57:28;
watoe shahada kwa uadilifu, 5:8;
wawe watiifu na wavumilivu, 8:46;
wawe thabiti, 8:45.
Wazazi, kuwafanyia wema, 17:23; 29:8; 31:14-15; 46:15-18.
Wema, anaefanya atazidishiwa wema, 42:23;
huondoa ubaya, 23:96; 28:54; 41:34;
na ubaya, 4:79, 85;
unalipwa ujira mkubwa, 4:40;
unalipwa mara kumi, 6:160;
Piya tazama Utawa.
(Watu wema) - tazama Masalih.
Woga, 3:122.
Ya-sin, S. 36.
Yaaqubu, 2:132-133; 6:84; 19:49; 21:72.
Yaghutha (sanamu), 71:23.
Yahya, kuzawa kwake, 3:39; 21:90;
miongoni mwa watu wema, 6:85; 19:12-15.
Yakini, 31:34; 69:51; 102:5; 56:95.
Yalioharamishwa, kuharamisha yaliyo halali, 7:32;
matendo, 6:151-152; 7:33; 24:3.
Yathribu - tazama Madina.
Yauka (sanamu), 71:23.
Yunus, S. 10.
Yunusi, 4:163; 6:86; 10:98; 37:139-148;
(Dhun-nun), 21:87;
(mmezwa na chewa), 68:48-50.
Yusuf, S. 12.
Yusufu, 6:84;
alifanywa mtazamaji wa khazina Misri, 12:55-57;
aliifasiri ndoto ya mfalme, 12:43-54;
alikutana na ndugu zake, 12:58-93;
alikutanishwa na jamii yake yote, 12:94-101;
alinunuliwa Misri, 12:21;
alioteshwa, 12:4-6;
aliuzwa, 12:19-20;
kisa chake adhimu, 12:4-101;
maisha yake gerezani, 12:35-42;
mke wa bwana wake alimtamani, 12:22-29;
ndugu zake walimuonea wivu, 12:7-10;
ndugu zake walimfanyia hila, 12:11-18;
wanawake wa mjini walimdhania kuwa ni malaika, 12:30-34.
Zaid bin Harith, 33:37-38.
Zaka, 2:43; 4:162; 5:55;
namna ya kugawanya, 2:177.
Zaka (na sadaka), 2:3, 110, 177, 195, 215, 219, 254, 261-265, 267, 272, 274, 277; 3:92, 134; 13:22; 30:39; 41:6-7; 57:7, 10-11, 18; 63:10; 64:16-17; 73:20;
maana yake, 51:19;
wanaostahiki, 2:273; 9:60.
Zakaria, 3:37-41; 6:85; 19:2-11; 21:89:90.
Zakkum (chakula cha watu wa motoni), 17:60; 37:62-67; 44:43-46; 56:52.
Zanjabila (kinywaji cha peponi), 76:17.
Zeinab (mke wa Mtume Muhammad), 33:37.
Zeituni, 23:20; 24:35; 95:1.
Zilzal, S. 99.
Zina, 17:32; 24:2-3, 4-10.
Zukhruf, S. 43.
Zumar, S. 39.

No comments: